Majiji ya afrika mashariki

DAR ES SALAAM TENA
41215941.jpg

hii ndiyo inayitendea dar haki. sio ile ya kwanza.
lakini tatizo la haya majiji ni kua ukiyaona kwa picha kama hivi yanavutia ila sasa unapokua
live nd utakoma na hua uswaz.
 
mitaa ya posta mpya kitu kipya kinakuja kinaitwa elite tower, kama kawa enjoy
7-10.jpg

6-10.jpg

kariakoo na mnazi mmoja zimeaa sihani kama kuna ujenzi utaendelea, nadhani watahamia magomeni na manzese
48299164.jpg
 
hii ndiyo inayitendea dar haki. sio ile ya kwanza.
lakini tatizo la haya majiji ni kua ukiyaona kwa picha kama hivi yanavutia ila sasa unapokua
live nd utakoma na hua uswaz.

nakualiana na wewe, 100%
 
Mkuu asante sana for nice pics, dah Mji wa Nairobi bana upo bomba ile mbayaaaa kinachovtia sana pale ni usafi na mpangilio wa mji kwa ujumla hasa DOWN TOWN imetulia ile mbaya.

Kinachofurahisha zaidi ni utaratibu wa daladala zao / MATATU kuna daladal maalumu zinaitwa SHUTLE hizo hupanda watu kwa utaratibu wa kukaa foleni na hakuna usumbufu zamu yako ikifika unaingia unakaa.

NB: Nahisi hulipa nauli kwa mwezi kama ktk miji mikubwa ya Ulaya . It very nice system niliipenda sana hata bongo tungekuwa nayo ingekuwa poa sana

Mwisho mji wa Nairobi kwa totoz lol hapo usiseme, wengi wao wamejaaliwa mizigo ya maana huko nyuma!
 
Mkuu asante sana for nice pics, dah Mji wa Nairobi bana upo bomba ile mbayaaaa kinachovtia sana pale ni usafi na mpangilio wa mji kwa ujumla hasa DOWN TOWN imetulia ile mbaya.

Kinachofurahisha zaidi ni utaratibu wa daladala zao / MATATU kuna daladal maalumu zinaitwa SHUTLE hizo hupanda watu kwa utaratibu wa kukaa foleni na hakuna usumbufu zamu yako ikifika unaingia unakaa.

NB: Nahisi hulipa nauli kwa mwezi kama ktk miji mikubwa ya Ulaya . It very nice system niliipenda sana hata bongo tungekuwa nayo ingekuwa poa sana

Mwisho mji wa Nairobi kwa totoz lol hapo usiseme, wengi wao wamejaaliwa mizigo ya maana huko nyuma!


kama kawa mkuu, bongo pia tunatakiwa tujifunze, ila DART (DAR ES SALAAM RAPID TRANSIT) ikikamilika kutakua na ustaarabu kidogo nadhani watu watatakiwa kununua ticket za mwezi pia, cheki maendeleo ya miundombinu ya mabasi yaendayo kasi jijini dar e s salaam hapahttp://www.skyscrapercity.com/showthread.php?t=1191319&page=2 , kuna page mbili unaweza kucklicjk back kuangalia toka mwanzo

 
ila kwa uchafu dar haiko nyuma. Dar ni ya 12 katika world ranking of dirtiest cities in the world.
Hilo nalo unazungumziaje?
 
NAIROBI WITHOUT UPPER HILL AND WESTLAND
5573097333_2dda472100_b.jpg

THE GREEN NAIROBI
94099169_aaddbb5791_o.jpg

DOWN TOWN NAIROBI
P9275332.jpg


DAR ES SALAAM
daressalaamskyline.jpg

FROM ANOTHER ANGLE
dartza.jpg

THE RISING DAR ES SALAAM
thechangingdarskyline.jpg


KAMPALA
5618942124_0e8a7322a9_z.jpg

5454831232_9e4761e312.jpg


Dar es Salaam
48299164.jpg

Nairobi
5655135052_1350fa5a82_b.jpg
[/QUOTE]

bujumbura
17248935.jpg

23365823.jpg

23366748.jpg

Commercials:
36089803.jpg


kigali kigali ipo kwenye milima ni vigumu kupata picha ya jiji zima
dscn0212.jpg
[/url]
IMG_0200.jpg


kampala pia iko kwenye milima
5618942124_0e8a7322a9_z.jpg


DAR ES SALAAM TENA
41215941.jpg


Dar es salaam - mitaa ya posta mpya kitu kipya kinakuja kinaitwa elite tower, kama kawa enjoy
7-10.jpg

6-10.jpg

kariakoo na mnazi mmoja zimeaa sihani kama kuna ujenzi utaendelea, nadhani watahamia magomeni na manzese

Dar es salaam - MIPINI MIKALI MINGI YA BONGO BADO HAIJAKAMILIKA, PATAKUA NA MIPINI YA KUFA MTU KATIKATI YA JIJI SIKILIZIA
cc.jpg

4493676979_f15f9d7918_z.jpg

DSC00382.jpg

NA HUKU KWA WAKURUNGENGE NAKO SI HABA
5402761084_f394882f82_b.jpg

5402761386_fcf89a22be_b.jpg


jiji la Dar



__________________
 
Back
Top Bottom