Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Nairobi kuna mipini ya hatari
DAR ES SALAAM TENA
MIPINI MIKALI MINGI YA BONGO BADO HAIJAKAMILIKA, PATAKUA NA MIPINI YA KUFA MTU KATIKATI YA JIJI SIKILIZIAWe sio mbongo? Mbona picha za bongo hujazitendea haki?
Mkuu asante sana for nice pics, dah Mji wa Nairobi bana upo bomba ile mbayaaaa kinachovtia sana pale ni usafi na mpangilio wa mji kwa ujumla hasa DOWN TOWN imetulia ile mbaya.
Kinachofurahisha zaidi ni utaratibu wa daladala zao / MATATU kuna daladal maalumu zinaitwa SHUTLE hizo hupanda watu kwa utaratibu wa kukaa foleni na hakuna usumbufu zamu yako ikifika unaingia unakaa.
NB: Nahisi hulipa nauli kwa mwezi kama ktk miji mikubwa ya Ulaya . It very nice system niliipenda sana hata bongo tungekuwa nayo ingekuwa poa sana
Mwisho mji wa Nairobi kwa totoz lol hapo usiseme, wengi wao wamejaaliwa mizigo ya maana huko nyuma!
Wapi Mkuu Ndinda???