shit kumbe mambo ya posa jibu nalo huchelewa?naona ntatumia huo ushauri wa kupachika mzigo,kitumbo kikianza kuonekana ndo ntakanyaga kwao.....aisee big up kwa kutukimbia mabachelor wenzako,vuta subira mkuu...
Loading....... 1week of 54weeks
Huo si uungwana wakwe wengine wanakutimua na mke hupati maana
umewvunjia heshima!
fedha kwng co ttz hilo namshukuru Mungu nimejiaandaa vzr.
fedha kwng co ttz hilo namshukuru Mungu nimejiaandaa vzr.
Umejiandaa una sh ngp? Mara nyingi huwa ina range mil1 hadi 2
Umejiandaa una sh ngp? Mara nyingi huwa ina range mil1 hadi 2