Majibu ya Mhariri wa gazeti la Nipashe kuhusu kuwahujumu waislaam kupitia Redio Imaan

thatha

JF-Expert Member
Apr 29, 2011
15,340
1,566
Jana baada ya kuchakachachua picha kupitia gazeti hilo na kuweka picha ya mapigano ya Mto wa Mbu kati ya waislam na wakiristo. lkn alidai kwamba ni kosa la Komputa. huyu jamaa kama Nigeria hatunae tena
 
Ameomba radhi ina maana ame-nulify hiyo habari na hiyo picha. Tena ameongelea kwenye redio yenu. Sasa hatari iko wapi hapo.
.......lakini alichotaka kukifanya ameishakifanya! kama ni mimi nisingeridhika na kuomba radhi peke yake.
 
SIJUI KWANINI WANAPENDA KUTUMIA FAKE PHOTOS..
images


HATA BBC NAO WALITUMIA FAKE PHOTO...SOMA HAPO CHINI
BBC yalaumiwa kwa kueneza picha bandia za kuipaka matope serikali ya Syria
uongo-wa-bbc.jpg
Televisheni ya utawala wa kifalme wa Uingereza BBC imelaumiwa kwa kutumia picha bandia iliyopigwa miaka 9 iliyopita nchini Iraq kwa ajili ya kuendeleza propaganda zake dhidi ya serikali ya Syria.
Gazeti la Daily Telegraph limeripoti kuwa, BBC imetumia picha ya zamani iliyopigwa mwaka 2003 nchini Iraq na kudai kuwa ni picha za watu waliouliwa na vikosi vya serikali nchini Syria.
Mpiga picha Marco Di Lauro aliyepiga picha hiyo huko Iraq mwaka 2003 amelalamika kwenye ukurasa wake wa Facebook akisema kama ninavyomnukuu: "Kuna mtu anatumia picha zangu kuendesha propaganda dhidi ya serikali ya Syria na kujaribu kuonesha serikali hiyo inafanya mauaji ya umati."
Wakati huo huo Bashar Ja'afari, Balozi wa Kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa jana alilalamikia kile alichokiita ni "tsunami ya uongo" unaoenezwa na baadhi ya nchi na vyombo vya habari vya kieneo na kimataifa dhidi ya Syria.
Mapigano kati ya vikosi vya ulinzi vya Syria na makundi yenye silaha yamezuka tena licha ya kusimamishwa tarehe 12 Aprili mwaka huu chini ya mpango wa amani wa Kofi Annan, mpatanishi wa Umoja wa Mataifa katika mgogoro wa Syria

SOURCE:
BBC News uses 'Iraq photo to illustrate Syrian massacre' - Telegraph
 
Back
Top Bottom