Majibu ya mawaziri yanakera

CLONEY

Senior Member
Apr 3, 2012
104
29
Wana JF habari za leo mi noimekuwa nakereka na majibu yanayokuwa yanatolewa bungeni na mawaziri yaani kusoma tu utekelezaji wake ni mdogo sana ulikinganisha na wanavyosoma halafu ni kama uniform kwasababu majibu yaliyotolewa mwaka jana ulkiuliza leo yatasemwa yale yale kama wimbo halafu yako kisiasa sana kwani yanapendeza kuyasikiliza na yanatia moyo lakini kwenye utekelezaji jamani mpaka naona kichefu chefu mfano leo wamegusia tena kuboresha nyumba za askari wetu majibu yamekuwa ni hayo hayo kila inapoulizwa hivi kweli kama wangekuwa wanajibu na kutekeleza hivi kweli leo bado tungekuwa tunaambiwa serikali inafanya mpango wa kuboresha makazi ya askari wake hadi lini?hakuna mengine ya kujadili kuhusu askari hao?haya hao wazamani bado je hao wanaoajiriwa kila mwaka?na wimbo huo utaisha lini?

NB:gharama zinazotumika kutekeleza shughuli za bunge, majibu yanayoyotolewa ukilinganisha na utekelezaji wake yaani tutaendelea kwenda kwa mwendo wa kinyonga au kupiga li gwaride kila mwaka na watu wachahe wataendelea kuneemeka kwa kula mali za umma kama tunavyoshuhudia kwenye halmashauri zetu.
 
Nasari kauliza waizara ya maliasiri na utalii juu ya kubadilishwa kwa ujira wa wabeba mizigo ya wataliitoka dola kumi hadi sh 6,000 ni kwa nn?


Waziri akatoa bla bla zake kumbe Nasari anataarifa nyingine toka wizarani na akalikataa jibu la waziri sasa lipi ni jibu. Sahihi waziri akakwama na spika akamlinda atatoa jibu au ufafanuzi kesho
 
Wana JF habari za leo mi noimekuwa nakereka na majibu yanayokuwa yanatolewa bungeni na mawaziri yaani kusoma tu utekelezaji wake ni mdogo sana ulikinganisha na wanavyosoma halafu ni kama uniform kwasababu majibu yaliyotolewa mwaka jana ulkiuliza leo yatasemwa yale yale kama wimbo halafu yako kisiasa sana kwani yanapendeza kuyasikiliza na yanatia moyo lakini kwenye utekelezaji jamani mpaka naona kichefu chefu mfano leo wamegusia tena kuboresha nyumba za askari wetu majibu yamekuwa ni hayo hayo kila inapoulizwa hivi kweli kama wangekuwa wanajibu na kutekeleza hivi kweli leo bado tungekuwa tunaambiwa serikali inafanya mpango wa kuboresha makazi ya askari wake hadi lini?hakuna mengine ya kujadili kuhusu askari hao?haya hao wazamani bado je hao wanaoajiriwa kila mwaka?na wimbo huo utaisha lini?

NB:gharama zinazotumika kutekeleza shughuli za bunge, majibu yanayoyotolewa ukilinganisha na utekelezaji wake yaani tutaendelea kwenda kwa mwendo wa kinyonga au kupiga li gwaride kila mwaka na watu wachahe wataendelea kuneemeka kwa kula mali za umma kama tunavyoshuhudia kwenye halmashauri zetu.

Mi naona tatizo liko kwenye jamii yetu. Jamii yetu ni ya waongo. Utamtoa wapi waziri mkweli? Ni mara ngapi watoto hudanganywa, "usilie, ninarudi sasa hivi", wakati mzazi akijua atarudi baada ya masaa mengi! Kwenye simu ni kawaida mtu akiwa bafuni akioga kumsikia akisema, "niko njiani nakaribia kufika!" Watoto wanakua wakijua uongo ndio mtindo. jamii ya waongo itamtoa wapi waziri mkweli?
 
Nasari kauliza waizara ya maliasiri na utalii juu ya kubadilishwa kwa ujira wa wabeba mizigo ya wataliitoka dola kumi hadi sh 6,000 ni kwa nn?


Waziri akatoa bla bla zake kumbe Nasari anataarifa nyingine toka wizarani na akalikataa jibu la waziri sasa lipi ni jibu. Sahihi waziri akakwama na spika akamlinda atatoa jibu au ufafanuzi kesho

Hajamuumbua ila majibu aliyokuwa nayo nasaari yalikuwa withdrawed wakagawiwa majibu mengine lakini nassari akayakataa sasa nani aliyeumbuka hapo?
 
Nasari kauliza waizara ya maliasiri na utalii juu ya kubadilishwa kwa ujira wa wabeba mizigo ya wataliitoka dola kumi hadi sh 6,000 ni kwa nn?


Waziri akatoa bla bla zake kumbe Nasari anataarifa nyingine toka wizarani na akalikataa jibu la waziri sasa lipi ni jibu. Sahihi waziri akakwama na spika akamlinda atatoa jibu au ufafanuzi kesho

Toa taarifa kamili mkuu
1. Bla bla za waziri ni zipi?
2. Na nasari alikuwa na taarifa zipi?
 
Kuna kuwaje na majibu mawili serikali moja? Wizara moja? Hapo tujue lipi jibu la ukweli na lipi lilikuwa la uongo
 
Mtu kama bi kiroboto amepoteza kabisa maana ya u-spika. Anakera sana na miongozo yake isiyokuwa na kichwa wala miguu, ndio maana anasura mbaya kama wasir...
 
inaelekea wizara haikua sure na majibu yake ya kwanza,ndio maana wakaliwithdraw..chakujiuliza hapa ni kwanini wali withdraw..ukithink greatly utaona kuna kilichojificha hapo
 
ila speaker anajibu kama ni upatu vile,kumbe wanajadili mambo ya msingi.duh,kweli wanahaha.
 
Hajamuumbua ila majibu aliyokuwa nayo nasaari yalikuwa withdrawed wakagawiwa majibu mengine lakini nassari akayakataa sasa nani aliyeumbuka hapo?

Akili nyingine bwana? Yaani wewe mpaka hapo huoni kuna tatizo tena la MSINGI. Waziri analeta majibu, kabla ya kuyasoma ana WITHDRAW analete majibu mengine? Halafu wewe unaona that is normal? Kweli vidole havilingani, kama vile akili ni nywele kila mtu ana zake
 
"Wametoa Berreta, wameingiza SMG bungeni" By GodBless Lema.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Hajamuumbua ila majibu aliyokuwa nayo nasaari yalikuwa withdrawed wakagawiwa majibu mengine lakini nassari akayakataa sasa nani aliyeumbuka hapo?

cloney, Tundu Lisu amefafanua kuwa ili ku-withdraw majibu ni lazima itolewe notice!! hiyo ndiyo hoja kuu iliyomtoa nishai waziri kuonyesha amebabaisha. imeelezwa na Lisu pia kanuni za bunge zinaelekeza majibu yanayosomwa na waziri shuruti yawe ndiyo aliyompatia muuliza swali. WAZIRI NA SPIKA WAMEUMBUKA!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom