Mhafidhina
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 549
- 22
NI hela ya nchi gani umeshawahi kuisugua ikatoa rangi? Hivi jamani tutumia common sense...! Inamaanisha kuchujuka ni security feature? Mbona dola ambayo imetumia technolojia hiyo haichujuki?
Hana naona kuna kitu kimefichwa...! We need to know more and ot investigate...! Majibu kama haya ya kirahisi rahisi naona sikubaliani nayo kabisa...!
Hana naona kuna kitu kimefichwa...! We need to know more and ot investigate...! Majibu kama haya ya kirahisi rahisi naona sikubaliani nayo kabisa...!