Majibu ya Dr Slaa kwa Sitta ni haya hapa

Kwenye the game of politics, hakuna permenent friend or enemies, kuna comon interests only!.
Kama ni kweli Sitta alijipanga kujoin Chadema na kuzungumza na uongozi wa Chadema in confidence, then this is uncalled for kwa Dr. Slaa to reveal this!. This is too low!''
Pasco.
Msisitizo katika redi hapo juu upo sahihi (correct) lakini hauko timilifu (incomplete).
Hauko timilifu kwa sababu hukuweza kuweka bayana hizo permanent interests zinalindwa na kuhifadhiwa kwa namna gani!
Tunaelewa kuwa katika siasa kuna kitu kinaitwa mikakati/mbinu za kisiasa(political strategies).Na kwa kutambua umuhimu wa mikakati, baadhi ya vyama huwa na wapanga mikakati wake(political strategists).
Kwa kawaida hawa huwa ni watu wenye ufahamu na ujuzi mpana katika maeneo ya siasa,saikolojia, uchumi ,elimu na mawasiliano.Ni wabobezi katika maeneo yao na wana akili zinazochemka..Hawa huweza kufanya kazi pasipo kujulikana kwa umma kwa kufanya kazi nyuma ya pazia(behind the scene).
Ni fani inayothaminiwa na inafanywa kisayansi na kimantiki na kwa kuzingatia ukweli pasipo kuweka uzandiki fitna,unafiki, majungu, uongo na upotoshaji uliopoozwa kwa kuitwa ''propaganda''..Mara tu weledi na umakini unapopuuzwa,mara moja, propaganda huchukua nafasi yake.
Sasa Spika Majeruhi amefanya propaganda zenye lengo la kupotosha.
Makamanda wameona ni vema kuweke ukweli hadharani ili wananchi wamwelewe mtoa ''hoja'' kwa kina.
Tunawezaa kuona kuwa lengo kuu(general objective) katika tamko hilo lilikuwa ni kuonyesha ya kuwa Majeruhi wetu hana uhalali wa kimaadili.Lengo mahususi(specific objective) lilikuwa kukanusha shutuma alizotoa hata kama zingekuwa zimetolewa na mtu mwenye uhalali wa kimaadili tofauti na yeye..Mara mtoa hoja anapokosa uhalali wa kimaadili asilalamike upande wa pili unapoachana na hoja zake na kuanza kumkabili mtoa hoja.Hii ni kawaida kabisa.
Katika siasa mbinu mbali mbali huweza kutumiwa..Hakuna mbinu ya aina moja..Mazingira ,kwa maana ya hoja na wakati tofauti, huhitaji mbinu tofauti.Naamini mbinu mwafaka imetumika.

 
Kama kweli walimfuata, basi, Six ni mkweli. Hawana database ya viongozi ndio maana wanategemea defects kutoka ccm.
 
hii nimeikubali kwani hakuna kulemba kwa watu watakaoleta taabu baadae in cdm like Mr. 6 and other member in ccm.
 
Dr Slaa, kama Prof Lipumba ni wagombea urais wa kudumu.

Mwinyi wa Ccm aligombea mara 2 hakuwa wa kudumu, Mkapa akagombea mara 2 hakuwa wa kudumu, Kikwete amegombea mara 3 hakuwa wa kudumu, Slaa kagombea mara 1 ni wa kudumu. Maajabu ya hesabu haya!!!
 
Wanabodi,
Kwenye the game of politics, hakuna permenent friend or enemies, kuna comon interests only!.
kwa hiyo...?Kama kuna kufa ndio tusijenge majengo ya kudumu.Au kwa vile wanandoa wanapata pia Ukimwi ndio tusioe..?Lazima siasa ziwe dynamic kwani kama enemy anajirekebisha ,kwa nini afungie milango chama kitakuwa vipi?What if unaishi na adui tupu na wameshikilia resources zinazoshikilia uhai wako.Huwezi tumia the "enemyof your enemy is your friend"?CDM imefika hapo kwa mambo mengi ambayo yatachukua years CCM kuelewa.
Kama ni kweli Sitta alijipanga kujoin Chadema na kuzungumza na uongozi wa Chadema in confidence, then this is uncalled for kwa Dr. Slaa to reveal this!. This is too low!.

Nani kakuambia kuna haja ya kuficha Siri ya mtu anayekwambia kuwa anakwenda kumbabu seya mwananzi huku ukijua ameathirika?Utakuwa na utiifu mbovu na utakuwa sehemu ya huo uovu.Itakuweje siku mtu anakunong`oneza kuwa ana kwenda wabaka watu wa jinsi ya kike wote nyumbani kwenu,kwa vile kaona wote wana mtamanisha na haomi wa kuacha...?utaendelea tunza hiyo sriri ndugu yangu?Mbaya zaidi hakuna ulipomuahidi kuwa hutosema?Kwani haikuwa sehemu ya mkataba.Na utakuwa mpuuzi kam utaiweka.
Mbona wengi tuu tunajua fika Sitta was the man behind CCJ na tumejinyamazia?!.
Kwani hata kama ungesema ulikuwa na uwezo gani wa kufanya kitu?
Mbona mimi binafsi niliongea na Dr. Slaa kuhusu msimamo wake kugombea au kutogombea urais 2015, alinijibu na sijautangaza humu kwa vile mazungumzo hayo tulifanya off the record!.
Tutakuamini vipi kuwa kweli ulikutana naye na mlichoongea ndicho unachoweza eleza?Au kwanini umlazimishe atumie vigezo vyako vya usahihi kama universal?Kwanza ujue Uwepo wake na nia yake ya kugombea ni card ya kuongeza unpredictability kwa upande wa ccm, so sicshangai kam dr. aliamua kukumanipulate ili ukawaanganye waliokutuma.CIA huwa wanawapoison agent wa wengine kwa kutumia "double agent".Na kumtumia kibaraka wa CCM in private kunaongeza imani na faraja ya uongo kwa CCM kwa vile wanadhani wamegundua kitu ya siri toka roho mwa mtu wanayemhofia.Kwa wanaume wajinga huwa ni rahisi sana kupoteza muda mwangalia mwanamke aliyekaa na sehemu ndogo ya juu ya mguu ikaonekeana,kwa mategemeo kuwa atazidi jiachia zaidi, na kadiri muda uanvyoenda ndivyo upuuzi unazidi na akili inaenda mbali zaidi,ikitaka zaidi mwisho mwanamke wa watu anajikalia vyema au kama ratiba ilimtak aondoke anaondoka.Na huyu jamaa anaondoka akiwa kaharibika fikra.Na pengine kuja kuwa mbakaji.
Kitenndo cha kuleta mazungumzo ya faraga into an open is uncalled for, hali inayoonyesha baadhi ya viongozi wa Chadema are not dependable when it comes to secret deals, they'll blow you up!.
kwani wewe upo dependable?Mpaka hapo tayari tayari umeshatoa clue zote, na akikubana mtu kwa dakika kadhaa utajikuta umemalizia iliyobaki.

Kwani walipeana kiapo kisisemwe?sasa kwani kam asita alijua kuwa mdomo wake ni kama wa mtoto mdogo na sifa kwake ,zimezidi umri umri wake , na uzoefu wake hauna mahusiano na fikra zake kwanini akatafutie sifa pale?

Sita kadhani legacy ya bunge kulipua mambo imekuwa "Nobel Prize", hajui watu wanajua kual alizima nyingi, na vilizomponyoka zilitokana na upuuzi wa makundi ya ccm.

Huwezi jipitisha palipo "Canines" huku umebeba unga.Yeye kujipitisha CDM kwa kuweweseka na kujibwatukia mambo haimaanishi CDM walikuwa hawajui?Hujawahi pelekwa na dalali kwa muuzaji ambaye tayari mlishaongea naye?sasa dalali atajisifu kwa lipi?
Kwa kuwasaidia tuu wasio fahamu, JK is very much aware Sitta na Mwakiembe were behind CCJ na akatumia principle keep your friends close, your enemies closer kwa kuwapa Sitta na Mwakiyembe ministerial posts just to keep them closer!, sasa hizi siri za Sitta ambazo Dr wa ukweli anazinwagwa hadharani, hazipunguzi credibility yoyote ya Sitta bali ya Dr. kuwa he is not dependable! which is not good for a "president in waiting"!.

Pasco.
Sitta anaweweseka, ingawa bado kuna watu wa Sura yake hadharani, sura ya kujifanya kuwaita wengine mafisadi, na hao wanaoitwa mafisadi bado hawajashika vizuri kamba ya kumnyonga.Dr. kulipua ni kumweka mahali pazuri mafisadi wamning`inize.He is very coward ingawa bado anaamini kuwa ni political asset.Hakujua kuwa CDM ingekuwa kinga yake sana kama angejiunga na kuwa downlow.Sasa kanyea kambi,siku analia kilio kikuu hakuna wa kumsaidia na alivyo mwoga sijui atalia na nani?Hawa ni watu wa grade ya chini sana kimaadili .Tabora haifanani na nafasi walizozishika.Tazama Rage,Sitta ,Lipumba nawengine.Lipumba hajaweza fight kutengeneza " proposal " atengeneze "model" atakayoipigia deme katik mashirika aya kimataifa ili pilot projects zipelekwe Tabora wanalia tuu na kukimbizwa na vivuli vyao.Pamoja na kuwa Tabora asali na tumbaku kibao inapatikana.

Dr, wa ukweli hawezi kuwa black mailed na wanasiasa uchwara.Hujawahi sikia mtu akimkimbiza mtu ,anapomweleza ujinga.Dr. kwa taarifa ya dr. ni kuwa baada ya chama kumpiga chini walimsitiri ila kwa vile mwenyewe anachokonoa ,ten akwa bidii na kulala ili hayo yasemwe basi ikabidi aanze mpatia haki yake.Sitta keshawehuka, akajichekesha kwa watu anaowaogopa sana, sasa anadhani akiwaonyesha kuwa anshambulia chadema watamwacha salama.Ahahisi kuwa wameshamkubali na kusahau jinsi alivyowamaliza na kubwatuka kwake.Hii ni ishara kuwa hata maana kamili ya uzoefu haijui.Hajui minefield anayotembea, hakumbuki kuwa kwa menye akili huwa hatakiwi kujenga mazingira ya kuwachoka walioshikilia siri zako.

Ningekuwa coordinator wa haya mambo ningemwita katik harambee, halafu pi animwalike Mh E.L ila nimwambie achelewe ingia,wakati sitta anapofikia bwatuka kuhusu ufisadi na kuwapaka matope wenzie.Mh .EL aingie, hata kabla ya kutamulishwa utaona jinsi Coward 6 atakavyopagawa.Kwa walio karibu na 6 na wenye kujua angalia tabia za mtu watakuwa wameona zaidi hofu yake.CCM wanamuua kwa hofu,wanamwacha akimbie kivuli chake ,akimbie kishindo chake mwenyewe na milio ya miti ipitiavyo na upeo.
 
wewe unayejibu wehu kwa wehu, je hujui kuna ktu kinaitwa freedom of speech. I believe dr slaa has not replied, apropriately, bali amemwaga mtamaa penye kuku wengi. Sasa wale wote ambao wants to test waters and join chadema, but during negotiations there is no agrement concluded si wataogopa kujaribu hata kuongea na wana chadema.

Dr slaa ametuumiza sana, this shows how poor of a politician he is..........

wanobipi hawatakiwi,kwani watakuja vuna, na hawa ndio hatari kwa democrasia ya nchi.Kwani wao watu wakifa wapo kimya ili wao wasiuwawe na hawana mioyo mikubwa ya kupambana katik kupanda na kupalilia,ila wanakuwa wa kwanza kuvuna.Sita alikuwa anataka urais wa nini?Angepewa wanachadema wangesema nini?CDM si CUF hawapo tayari kupoteza juhudi za wanchama in vain.kwa ajili ya kukimbilia garasha. Sita alipaswa ikana njia mbaya hadharani, ajiunge na chama na kutii utaratibu aliokuta,utaratibu uliomtamanisha mpaka akakipenda na asiende CUF,NCCR and the type.

Red inanitisha ndugu yangu.
 
sijafurahishwa na malumbano haya kati ya dr slaa na sitta kwa sababu kwa maoni yangu hawa wawili ni viongozi bora katika nchi hii. mimi nadhani hawa wakiunganisha nguvu na kuwa pamoja ktk uongozi wa juu wa nchi wanaweza kutusogeza mbele.
6 anatia huruma, yupo too fragile na ana disintegrate kwa kasi sana...Dr.kaonyesha kuwa jamaa umakini umeonekana kupotea ghafla.Hizi ndizo test zinazosaidi kuodoa pumba dkk za mwisho.Soon 6 ataonyesha sura ya kuchekesha na kuondoka katik siasa for good.6 ni mowga kama fisi, kaanzisha chama kashindwa tangualia na kujenga misngi wengine waje.Kaenda cdm kwa siri kuomba dili, wakamtazama kwa nidhani na heshika kama kawaida ya CDM,hadi kajisahu akidhani kuwa yeye ni dili.mzee katoka kuja wadhalilisha.Sijui CCM wametisha kuwa CDM itazamishwa kwa nguvu kali, akahisi mbingu inaanguka..teh teh.
 
Sitta ni kama wale dada zetu wa K'ndoni, hana choice, yeyote atakayekuja almradi tu amwakikishie nafasi fulani yeye twende! Kaanza CCJ na sasa CDM! Duh! Kweli Physically yupo CCM, Spiritually bado anatafuta pa kutua.
siasa ndo zipo hivyo. chama cha siasa sio mama yako
 
Ingekuwa busara kama angesema tu kwamba chadema siyo Mbowe na Slaa peke yake, ni chama chenye wanachama Tanzania nzima kwa hiyo hazina ya viongozi ipo, kauli ambayo inatia hamasa kwamba kila mwanachama wa chadema ana nafasi katika chama. Hakukosea kumtetea Mbowe kwamba kumiliki biashara ya disco si kosa, ila amekosea kujikita katika kuumbua tu bila kutoa maelezo ya kupinga au kusahihisha alichokiseama alichokisema Sita.
 
Pasco
Wewe ndiye uko too low! Huyu mnafiki Sitta ameitusi CDM kwamba haina mtu mwingine anayefaa kuwa kiongozi zaidi ya Dr Slaa.Pili anasema Mbowe ni Disco Joker kwa hiyo CDM haina Mkiti wa maana.Kama hayo mawazo yake ni kweli kwanini alifanya mazungumzo na Disco Joker kujiunga CDM? Na kwanini alitaka kujiunga na CDM isiyo na viongozi zaidi ya Dr Slaa?
Pasco tunakujua wewe una chuki kubwa na Dr.Slaa ndiyo maana kila anachofanya Dr Slaa unakipinga na kumshusha thamani.Kwa bahati nzuri kwa vile tunafahamu msimamo wako wa chuki dhidi ya Dr Slaa hatushangai unayoandika dhidi yake!

Nilikuwa nashuka chini kuandika majibu kama haya kwa Pasco.
Sitta (Mnafiki wa kutupwa) Hakujua madhara ya kauli zake!.. Hata hivyo ametumia fedha za serikali (Kwa tittle yake) kuishambulia CHADEMA badala ya kuwaelewesha wananchi juu ya EALA kazi iliyompeleka huko. Ni mtu wa kudharauliwa na asiyefaa kuwa kiongozi.
 
Wanabodi,
Kwenye the game of politics, hakuna permenent friend or enemies, kuna comon interests only!.

Kama ni kweli Sitta alijipanga kujoin Chadema na kuzungumza na uongozi wa Chadema in confidence, then this is uncalled for kwa Dr. Slaa to reveal this!. This is too low!.

Mbona wengi tuu tunajua fika Sitta was the man behind CCJ na tumejinyamazia?!.

Mbona mimi binafsi niliongea na Dr. Slaa kuhusu msimamo wake kugombea au kutogombea urais 2015, alinijibu na sijautangaza humu kwa vile mazungumzo hayo tulifanya off the record!.

Kitenndo cha kuleta mazungumzo ya faraga into an open is uncalled for, hali inayoonyesha baadhi ya viongozi wa Chadema are not dependable when it comes to secret deals, they'll blow you up!.

Kwa kuwasaidia tuu wasio fahamu, JK is very much aware Sitta na Mwakiembe were behind CCJ na akatumia principle keep your friends close, your enemies closer kwa kuwapa Sitta na Mwakiyembe ministerial posts just to keep them closer!, sasa hizi siri za Sitta ambazo Dr wa ukweli anazinwagwa hadharani, hazipunguzi credibility yoyote ya Sitta bali ya Dr. kuwa he is not dependable! which is not good for a "president in waiting"!.

Pasco.

Pasco, I beg to differ!! Sitta should have behaved better in the first place. When you attack first, expect either an attack or nothing but the latter serves to confirm either truth or latter's weakness. This is why a response, of any sort, is usually expected!! People think punching below their weight guarantees wins, they just dont remember there are things called "shock defeats"!!

Sitta hit below the belt and he cant get away with it lightly. If CDM is an enemy, Sitta needed to keep them closer to his chest, going by your opinion. He was looking to score political points in poor manner. He attacked both CDM and its top brass personalities. Do we really need to hear Mbowe is a DJ and Dr. Slaa was once a priest??? Really?? Character assassination is a thing he went for and it's fair to be attacked from that same angle. Be it true on not, now people know he cant be trusted - CCM, CDM and CCJ!!! Now we know he wanted to join CDM n b their standard bearer and run for the speaker seat!! All that on just joining????

Sitta chose the wrong path. He dished out what he had, let others dish out what they have. Common sense suggests, what goes around comes around!! It was very low for the minister, former speak, member of CCM NEC to attack the Leader of House Opposition, chairman n secretary general of a prominent opposition party PERSONALLY!! We attack ideologies more, not personalities.

Kama wasemavyo wahenga, usitupe mawe kama wakaa kwenye nyumba ya vioo.
 
We pasco jaribu kufikiri vizuri, yaani mtu ana chafua chama alaf aachwe?

Najua you against dr slaa always kwa hiyo huwezi kuona cha maana hakuna asiye kufahamu!
Wanabodi,
Kwenye the game of politics, hakuna permenent friend or enemies, kuna comon interests only!.

Kama ni kweli Sitta alijipanga kujoin Chadema na kuzungumza na uongozi wa Chadema in confidence, then this is uncalled for kwa Dr. Slaa to reveal this!. This is too low!.

Mbona wengi tuu tunajua fika Sitta was the man behind CCJ na tumejinyamazia?!.

Mbona mimi binafsi niliongea na Dr. Slaa kuhusu msimamo wake kugombea au kutogombea urais 2015, alinijibu na sijautangaza humu kwa vile mazungumzo hayo tulifanya off the record!.

Kitenndo cha kuleta mazungumzo ya faraga into an open is uncalled for, hali inayoonyesha baadhi ya viongozi wa Chadema are not dependable when it comes to secret deals, they'll blow you up!.

Kwa kuwasaidia tuu wasio fahamu, JK is very much aware Sitta na Mwakiembe were behind CCJ na akatumia principle keep your friends close, your enemies closer kwa kuwapa Sitta na Mwakiyembe ministerial posts just to keep them closer!, sasa hizi siri za Sitta ambazo Dr wa ukweli anazinwagwa hadharani, hazipunguzi credibility yoyote ya Sitta bali ya Dr. kuwa he is not dependable! which is not good for a "president in waiting"!.

Pasco.
 
Dr.Slaa kazi yake sio kuanika watu,ila ukijifanya tumbotumbo kama wale wa Kona Bar,lazma upate kile ulichostahil..
U give me shit i giv u shit..
 
Naona umeshindwa kufikiri vyema! Yani unataka cdma wanyamaze pamoja na kudharirishwa kiasi hicho!
Yani mwenye kiti wetu kuitwa dj we unaona ni sawa, kwa hiyo hatuna mwenyekiti bali tuna dj?



sijafurahishwa na malumbano haya kati ya dr slaa na sitta kwa sababu kwa maoni yangu hawa wawili ni viongozi bora katika nchi hii. mimi nadhani hawa wakiunganisha nguvu na kuwa pamoja ktk uongozi wa juu wa nchi wanaweza kutusogeza mbele.
 
We ndio kabisaaa!
Yani ulitaka aachwe?
Mtu ana taka kujiunga na chama alaf ana dharirisha chama hichohicho kwa kashfa na matusi alaf aachwe? Kweli unafikiri mtu wa namna hii ana nia njema na chama? Hebu jaribu kufikiri kwa kina!

Hivi mfano mimi na wewe tumekubaliana ni kupe kiasi cha pesa, wakati kabla sijakupa hicho kiasi wewe unaenda kunikashfu na kunitukana, hivi unafikiri mimi ntaamini wewe una nia ya dhati kutaka msaada wangu?

Kama una nia ya kujiunga na chama njoo lakini sio kukashfu alaf uachwee!

wewe unayejibu wehu kwa wehu, je hujui kuna ktu kinaitwa freedom of speech. I believe dr slaa has not replied, apropriately, bali amemwaga mtamaa penye kuku wengi. Sasa wale wote ambao wants to test waters and join chadema, but during negotiations there is no agrement concluded si wataogopa kujaribu hata kuongea na wana chadema.

Dr slaa ametuumiza sana, this shows how poor of a politician he is..........
 
Back
Top Bottom