Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Dr. Slaa,
Mimi nina ushauri kwa CHADEMA; anzisheni Redio na TV yenu ili muweze ku-counter attack propaganda za CCM zinazorushwa na vyombo mbali mbali vya habari. Zaidi ya yote, vyombo hivyo vitawawezesha kuwafikia wananchi wengi kwa muda mfupi.
Mkuu Nadhani Sheria za nchi haziruhusu vyama vya Siasa kumiliki Radio au Television unless CDM wangeshafungua tayari