C.K
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 394
- 162
Habarini wadau!
Nimekuwa nikisoma posts za watu wakiomba msaada juu ya biashara za kufanya kwa mitaji yao ambayo siwezi kusema ni mikubwa au midogo (mil.2 - 5). Kwanza ninawapa pongezi kwa mawazo na mtazamo huo wa kuzalisha hizo pesa kwani wengi wakizipata wanakimbilia kununua liabilities - vitu visivyozalisha kama simu za mkononi, vito vya thamani, gari za kutembelea, TV kuubwa n.k. badala ya kuwekeza kwanza. Watu kama hao ninawapa pole kwani umaskini hauwezi kuwatoka. Ok, kwa mtaji huo unaweza kufanya biashara mbalimbali kwa kadri ya soko na au upenzi wako mwenyewe-- duka, saluni, pikipiki/bodaboda, kufuga kuku, kilimo n.k.
Nimeambatanisha sehemu ya kitabu cha Ujasiriamali, MAFANIKIO YA KIFEDHA cha Robert K. inayoonyesha biashara gani unaweza kuanza nayo katika kuendea mafanikio ya kifedha (financial independency). Sura ya kwanza - UTANGULIZI na sehemu ya sura ya tano - Biashara za kufanya katika kitabu hicho chenye sura tano motomoto. Waliokisoma wanajua mambo yake. Ni zaidi ya kitabu. Kinafundisha, Chochea na Kuelekeza ufanye nini ili ufanikiwe kifedha. Kinapatikana bookshops na kwa wauza vitabu -- Ubungo, Mwenge, Posta, Kariakoo... na baadhi ya mikoa.
Hebu soma mwenyewe kiambatanisho hicho halafu utaniambia. SOMA ACHA UVIVU!
Kila la heri!
Nimekuwa nikisoma posts za watu wakiomba msaada juu ya biashara za kufanya kwa mitaji yao ambayo siwezi kusema ni mikubwa au midogo (mil.2 - 5). Kwanza ninawapa pongezi kwa mawazo na mtazamo huo wa kuzalisha hizo pesa kwani wengi wakizipata wanakimbilia kununua liabilities - vitu visivyozalisha kama simu za mkononi, vito vya thamani, gari za kutembelea, TV kuubwa n.k. badala ya kuwekeza kwanza. Watu kama hao ninawapa pole kwani umaskini hauwezi kuwatoka. Ok, kwa mtaji huo unaweza kufanya biashara mbalimbali kwa kadri ya soko na au upenzi wako mwenyewe-- duka, saluni, pikipiki/bodaboda, kufuga kuku, kilimo n.k.
Nimeambatanisha sehemu ya kitabu cha Ujasiriamali, MAFANIKIO YA KIFEDHA cha Robert K. inayoonyesha biashara gani unaweza kuanza nayo katika kuendea mafanikio ya kifedha (financial independency). Sura ya kwanza - UTANGULIZI na sehemu ya sura ya tano - Biashara za kufanya katika kitabu hicho chenye sura tano motomoto. Waliokisoma wanajua mambo yake. Ni zaidi ya kitabu. Kinafundisha, Chochea na Kuelekeza ufanye nini ili ufanikiwe kifedha. Kinapatikana bookshops na kwa wauza vitabu -- Ubungo, Mwenge, Posta, Kariakoo... na baadhi ya mikoa.
Hebu soma mwenyewe kiambatanisho hicho halafu utaniambia. SOMA ACHA UVIVU!
Kila la heri!
"kufanikiwa ni maamuzi.., kwa hiyo ukiamua utafanikiwa na kinyume chake ni sahihi"