Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,848
- 2,669
Hivi karibuni kumekuwa na minong'ono kuwa maji ya uhai sio salama. Kwa kuthibitisha hilo, chupa nyingi ukizitazama kwenye kitako zina kovu linalosadikika ni kutokana na kuzibwa kwa super glue baada ya kuingiza maji kwa kutumia sindano. Kama ni kweli, hii ni hatari. Wahusika wanatakiwa kujibu hizi tuhuma na kuhakikisha wanaondokana na hii kashfa kabla biashara yao haijaingia doa