Bakeza
JF-Expert Member
- Jun 30, 2011
- 348
- 192
Jaman mamlaka ya maji mosh vp? Leo ni siku zaidi ya tano maeneo mengi mjin moshi hayana maji. Leo ni siku ya tatu binafsi kabla sijaenda kwenye mihangaiko yangu naishia kupiga passpot size badala ya kuoga. Kwa hakika maji ni tabu sana wahusika jaman tusaidien