Maji makongo

NATA

JF-Expert Member
May 10, 2007
4,492
1,311
Ajabu karibu mwaka na nusu watu wamakongo juu wamewekewa mabomba kwa mradi wa wachina.

Lakini cha ajabu maji hayajawahi toka hata siku moja na mabomba yashaanza kuibwa na yamepata kutu..

Hivi hii inasababishwa na nini?

Na hawa wachina ndiyo yale mambo yao ya hakuna lisilo wezekana?

Naomba kama kunamtu anafahamu sababu zilizo sitisha huu mradi anijuze please!
 
Poleni. Sifahamu sababu but kwetu maji ya Wachina toka yafungwe yakikatika ni kwa sababu maalum na ni nadra sana kutokea. Maji masaa 24 bila taabu. Nimeipenda huduma yao sana.
 
Ajabu karibu mwaka na nusu watu wamakongo juu wamewekewa mabomba kwa mradi wa wachina.

Lakini cha ajabu maji hayajawahi toka hata siku moja na mabomba yashaanza kuibwa na yamepata kutu..

Hivi hii inasababishwa na nini?

Na hawa wachina ndiyo yale mambo yao ya hakuna lisilo wezekana?

Naomba kama kunamtu anafahamu sababu zilizo sitisha huu mradi anijuze please!
Chimbeni visima vyenu....mambo ya kusubiria selikari iwaletee maji ngojeni hadi karibu na uchaguzi
 
Nilistuka maana mimi nakaa makongo ya nchini CHanganyikeni nikafikiri suluhisho la maji kwisha!
 
poleni. Sifahamu sababu but kwetu maji ya wachina toka yafungwe yakikatika ni kwa sababu maalum na ni nadra sana kutokea. Maji masaa 24 bila taabu. Nimeipenda huduma yao sana.

Nyie mbunge wenu nani?
 
Chimbeni visima vyenu....mambo ya kusubiria selikari iwaletee maji ngojeni hadi karibu na uchaguzi

Hatujakataa maji ya visima tunayatumia but kwanini waharibu pesa kwa kuweka mabomba na kuacha yapate kutu na kuibiwa?

huu ni ufujaji wa mali,
kama hawakuwa tayari wangeacha tu na hizo pesa walizotumia kununua hayo mabomba wangeongezea kwenye huduma zingine kama hospital nk.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom