Majeshi ya Tanzania na huduma za dezo

Sio kweli hata kidogo GT

Kwa sababu hawa wanajeshi sio kwamba wanatoa huduma za kujenga madaraja bure, no hawa wanalipwa kila mwezi bila kazi yoyote wanayofanya, na ndo maana zikitokea kazi za dhalula wanafanya, unaweza kuniambia wanafanya kazi gani specific hawa jamaa, wakati wanalipwa kila mwezi

Na kama ndo hivyo kila mtu atataka kusafiri bure, nani kama Mwalimu aliyewafundisha watu, kwanini hasisafiri bure?, na Madaktari je wanaokoa Maisha ya watu, mbona nao hawasafiri bure?
Hakuna mantiki katika hili kuwa askari wasafiri bure kwa sababu zipi?
Kwanza askari wa Tanzania wengi hawana nidhamu na maadili hata kwa wananchi wao, wengi wamekuwa wakiwapiga na kuwaonea wananchi, pili kuna makundi makubwa sana ya ujambazi ambayo na Maaskari wanashiriki.

Hivyo basi mimi sioni kama wao ni muhimu sana kuliko watu wengi mpaka waweze kusafiri bure
Thinking capacity yako ndogo sana..sijawahi amin kama kuna serikali inaajiri mtu akale mshahara bure .hao wanajeshi walioko mpakani wakilinda mipaka wew unaona wanacheza??? na hao wanaoenda kusaidia kulinda amani nchi mbali mbali wew huna taarifa?? Shukuru mungu nchi yako haina machafuko kiasi cha kufanya uone askari wa nchi yako kwa upande wa ndani ya nchi kuwa hawana kazi wanapata mishahara ya bure but simply ukitaka wafanye kazi yao kila siku kama unavotaka wew cgafua amani kidogo tu utaona kazi yao.hata hiyo nafasi ya kutikisa tako hutopata wala chance ya ku post huu upuuzi wako. FURAHIA AMANI YA NCHI YAKO.
 
Thinking capacity yako ndogo sana..sijawahi amin kama kuna serikali inaajiri mtu akale mshahara bure .hao wanajeshi walioko mpakani wakilinda mipaka wew unaona wanacheza??? na hao wanaoenda kusaidia kulinda amani nchi mbali mbali wew huna taarifa?? Shukuru mungu nchi yako haina machafuko kiasi cha kufanya uone askari wa nchi yako kwa upande wa ndani ya nchi kuwa hawana kazi wanapata mishahara ya bure but simply ukitaka wafanye kazi yao kila siku kama unavotaka wew cgafua amani kidogo tu utaona kazi yao.hata hiyo nafasi ya kutikisa tako hutopata wala chance ya ku post huu upuuzi wako. FURAHIA AMANI YA NCHI YAKO.

Sio wote wanaolinda na hawa tulionao uswaz wanalinda nini mafisadi ama
 
Kwa hiyo ungependekeza hats waachishwe KAZI, na jeshi lisiajiri tena lisubiri wakati wa vita! Tunafikiri mambo mazito kwa wepesi mno!

Kwa ujumla wengi wapowapo tu watukamatie na hawa mafisadi mwaka wa hamsini 2 huu toka tupate Uhuru watoto wanasomea chini ya miti bora mkoloni arudi zaidi ya hapo ni siasa maji taka ndio tunachokiweza.
 
Je ipo sheria yeyote inayompa askari Polisi, JKT, Magereza, JWTZ, na FFU furusa ya kupata huduma ya usafiri bure katika mabasi yanayofanya biashara katika nchi ya Tanzania? Tabia hii inakwaza wawekezaji wenye uwezo wa kuwekeza katika biashara ya usafirishaji, kama yupo mwenye ushahidi atusaidie tujue kiwango cha madhara ambayo Watanzania wanayapata na wataendelea kuyapata kwa ajili ya kundi la askari ambao kwa sasa ndio wanaolipwa vizuri kuliko watumishi wengine wa uma na bado wanataka huduma ya usafiri wa bure.Kama sheria haipo nini kifanyike sasa kukomesha tabia hii?.

Mtoa mada ameyalenga Majeshi ya Ulinzi na Usalama kwa ujumla wake lakini wachagiaji wengi wameilenga JWTZ tu na kuonesha chuki ya wazi kwa chombo hiki.
Kwanza, hakuna sheria inayoeleza wapate huduma za usafiri bure, na wengi tu wanasafiri ndani ya mabasi hayo bila kutambulika na wanalipa nauli hizo, unaowaona wakiwa na sare ni wachache tu walio na majukumu mbalimbali. Mwambie tu konda wako awadai nauli. Ni hofu tu ya makondakta kudai nauli.
Pili, baadhi ya wachangiaji wamesema kuwa Wanajeshi hawana kazi! Hii inashangaza kuwa raia wa nchi hii hajui majukumu ya Vyombo vya Ulinzi na Usalama. Kwa ufupi tu ni kwamba wakati wa Amani majeshi yetu yanafanya mafunzo ili kujiandaa na dharura yeyote. Pia wanalinda nchi ili wengine tufanye kazi za ujenzi wa taifa kwa Amani. Jaribu tu kujiuliza ni nini kinaizuia nchi ndogo kama Rwanda kutoamua kuongeza eneo lake kwa kumega ardhi yetu?
Tatu, usafiri wa abiria mijini si biashara bali ni huduma ya msingi ili kufanikisha shughuli za kimaendeleo kufanyika kwa ufanisi. Tatizo ni kwa kuwa huduma hii inatolewa kiholela ndipo watu kama mtoa mada wameigeuza ni biashara na wanachoangalia ni jinsi ya kujitajirisha.
Nne, kazi katika majeshi ni wito Zaidi kuliko kipato kinachotolewa, malipo aina yeyote hayalingani na moyo wa kuamua kufa ili wengine wawe salama.
Tano, tuwe wazalendo, tusiwabague wenzetu kwa sababu ya rangi, dini wala KAZI wanazofanya.
 
This corrupt government should be the first to take the blame and the Tanzanian People's Defense Force be the last to be blamed. We have the peace not by accident but because we have the TPDF who always have their eyes open to protect the country's safety and security. Our enemies of peace inside and outside the country know about how strong our defense force is that's why they can't incite any chaos in our country. Respect our men and women in uniform, please!
 
Je ipo sheria yeyote inayompa askari Polisi, JKT, Magereza, JWTZ, na FFU furusa ya kupata huduma ya usafiri bure katika mabasi yanayofanya biashara katika nchi ya Tanzania? Tabia hii inakwaza wawekezaji wenye uwezo wa kuwekeza katika biashara ya usafirishaji, kama yupo mwenye ushahidi atusaidie tujue kiwango cha madhara ambayo Watanzania wanayapata na wataendelea kuyapata kwa ajili ya kundi la askari ambao kwa sasa ndio wanaolipwa vizuri kuliko watumishi wengine wa uma na bado wanataka huduma ya usafiri wa bure.Kama sheria haipo nini kifanyike sasa kukomesha tabia hii?.


Hii ndio sababu ccm inaamini itatawala maisha yote ya uhai wa Tz.
 
Huna akili we kasome magazine ya udaku ,unaonekana hata shule hukwenda, wewe na wenzio wote msiojua kazi za jwtz ni wapuuzi tu, mnakarisha mikundu, mnakunyakunya,mnazaa tu hamjali hii amani imekujaje...wapuuzi tu, kauze uch
 
Je ipo sheria yeyote inayompa askari Polisi, JKT, Magereza, JWTZ, na FFU furusa ya kupata huduma ya usafiri bure katika mabasi yanayofanya biashara katika nchi ya Tanzania? Tabia hii inakwaza wawekezaji wenye uwezo wa kuwekeza katika biashara ya usafirishaji, kama yupo mwenye ushahidi atusaidie tujue kiwango cha madhara ambayo Watanzania wanayapata na wataendelea kuyapata kwa ajili ya kundi la askari ambao kwa sasa ndio wanaolipwa vizuri kuliko watumishi wengine wa uma na bado wanataka huduma ya usafiri wa bure.Kama sheria haipo nini kifanyike sasa kukomesha tabia hii?.

Haya majitu kwa jumla mi siyapendi.
Kwa mfano jwtz, hawa kila kitu bure na bado mshahara wanapata. Ndo maana huwa yalemaa akili, unakuta afisa zima au brigedia zima linastaafu halina pa kuishi au linaenda ishi kwenye 'banda la kuku'.
 
Nadhani mantiki ni uwajibikaji,binafsi sioni kama kuna fani bora kuliko nyingine
kwani zote hutegemeana katika kujenga uchumi wa nchi yetu.
Kama mwanajeshi analinda taifa au anatupigania nchi ikivamiwa na maadui,
Madaktari wanatupigania nchi ikivamiwa na magonjwa,
najua watu waliosomea kutathimini viwango vya madhara
watanikosoa kwamba madhara ya ugonjwa ni kidogo ukilinganisha na madhara ya vita,
lkn naomba tujiulize
Toka mwaka 1978 mpaka leo ni miaka mingapi ya amani imepita? na kila mwezi wajeshi wanalipwa
Na wenzetu kenya wasemeje?
Mimi naomba hata kama maaskari wamepewa ofa hiyo,watumie busara wasijazane kwenye daladala
moja na hivyo kumpa hasara mwenye gari.
Na ikitokea dereva akawaambia amejaza wawe waelewa kwani nao wanapewa hesabu ya siku na mabosi wao.
Serikali imeweka maduka maalum ya wanajeshi wanauziwa vifaa bei nafuu,wanaruhusiwa kukopa pension zao kufanya maendeleo na hata ubungo bus stand wanaingia bure kwa vitambulisho nadhani mpaka hapo serikali imewathamini.lkn pia wanaruhusiwa kufuga kuku,mbuzi n.k kama sisi raia wengine ili kuongeza kipato,wasijisahau.
 
Je ipo sheria yeyote inayompa askari Polisi, JKT, Magereza, JWTZ, na FFU furusa ya kupata huduma ya usafiri bure katika mabasi yanayofanya biashara katika nchi ya Tanzania? Tabia hii inakwaza wawekezaji wenye uwezo wa kuwekeza katika biashara ya usafirishaji, kama yupo mwenye ushahidi atusaidie tujue kiwango cha madhara ambayo Watanzania wanayapata na wataendelea kuyapata kwa ajili ya kundi la askari ambao kwa sasa ndio wanaolipwa vizuri kuliko watumishi wengine wa uma na bado wanataka huduma ya usafiri wa bure.Kama sheria haipo nini kifanyike sasa kukomesha tabia hii?.
Hili jambo linatia aibu sana nchi , hivi inakuwaje jitu lenye tumbo kubwa , lina mke na watoto halafu linapata mshahara lakini bado linataka kusafiri bure ?
 
Mleta mada sidhani kama umefkria kwa kina au sijui sababu za kina je kazi ambazo hawa polisi wanajitolea nao pia walipwe mfano gar limetekwa polis akaenda pale kuokoa je na alipwe,,,,,,tena waendelee kupanda bure ikibidi hata dada zenu maaskar na wanajesh waoe bureeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Huna akili we kasome magazine ya udaku ,unaonekana hata shule hukwenda, wewe na wenzio wote msiojua kazi za jwtz ni wapuuzi tu, mnakarisha mikundu, mnakunyakunya,mnazaa tu hamjali hii amani imekujaje...wapuuzi tu, kauze uch

teh teh teh Kuruta vp mbona una mtusi jamaa?
 
Huna akili we kasome magazine ya udaku ,unaonekana hata shule hukwenda, wewe na wenzio wote msiojua kazi za jwtz ni wapuuzi tu, mnakarisha mikundu, mnakunyakunya,mnazaa tu hamjali hii amani imekujaje...wapuuzi tu, kauze uch
arøoo muraaa,kuwa na adabu.usidhani sisi ni ------- wenzio,we reason
 
Wewe utakuwa na tatizo la kisaikolojia haswa linaloendana na ubishani ama ushindani. Serekali kupitia JWTZ imewahi kutoa tamko rasmi kwamba wanajeshi walipe nauli. Kilichotokea ni makubaliano kati ya wenye mabasi na askari hao... kwa mapenzi yao kwa jeshi lao wakawa teyari kuwabeba bure kwa safari za ndani ya mkoa kwani wanauthamini mchango wao katika kuhatarisha maisha yao kulinda mipaka ya nchi na maadui wa Taifa letu wa ndani na nje ya nchi

Si kweli kwamba askari hao wanapanda kwa makundi kama unavyosema kwani makubaliano ya wenye daladala hizo na wanajeshi/askari hao ni askari wasiozidi wawili kwa daladala moja na askari wanapopanda na kujitambua wamezidi idadi hiyo huwa wanashuka ama kujitolea kulipa kutokana na hali iliyopo.
Na mara zote askari hao huwa ndani ya Uniform na huwa wakienda makazini wakati wa asubuhi na kurejea jioni.
Mifano mizuri ya mahusiano bora kati ya Askari na Raia wao ni mongi sana ila nitakuachia mtoa mada uijaze hapa kwa kurekebisha ama kuifuta mada yako tenye chuki kwa walinda amani wa nchi. HUWEZI LINGANISHA PESA KWA HATARI WANAYOJITOLEA KUIKABILI ASKARI WETU.. THE DANGER THEY FACE HAS NO MONETARY VALUE MY BRETHRENS
MWISHO KABISA NAPENDA KUWATAHADHARISHA WATANZANIA KUWA MAKINI SANA NA WIMBI LA WATU WALIOTUMWA NA WASIOITAKIA AMANI NCHI TETU KUJENGA MAHUSIANO MABOVU KATI YA WANANCHI WASIOKUWA NA HATIA NA ASKARI WATII WA KATIBA YA NCHI...

MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
eti unaingia gari ya mkoa kwa kua una migwanda yako ukidaiwa nauli hulipi na kujibu jeuri, kuna 1 jana tulimkomalia akalipa nauli vingnevyo dereva asiondoe gari badae kwa aibu alipozidiwa na hoja alilipa nusu ya nauli akambiwa na konda kwa kua hakuonesha heshma nauli yake itakapoishia ndipo anashurhwa na dereva alifanya hvyo kweli
 
Back
Top Bottom