zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Kati ya watu wa kuhurumiwa wewe ni namba mmoja mkuu. Utakosa vingi ktk maisha kwa hasara yako for sure.
Tatizo lako ni mawazo yako. So materialistic. Kwa kukosa udaku ndio nimekosa vingi? huoni kuwa ni faraja kubwa kukosa hayo?