Majengo ya kihistoria Tanzania

Candid Scope

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
11,883
6,884
Cathedral.JPG


Kila zama zina mazuri ya kujivunia, ujenzi wa jengo hili katu siku za leo unatushinda, na kama tukilazimisha si kutumia udongo kama walivyofanya hapa, siku za leo itabidi fundi chuma na seremala kuhitimisha kwa vyuma na mbao.
 
Cathedral.JPG


Kila zama zina mazuri ya kujivunia, ujenzi wa jengo hili katu siku za leo unatushinda, na kama tukilazimisha si kutumia udongo kama walivyofanya hapa, siku za leo itabidi fundi chuma na seremala kuhitimisha kwa vyuma na mbao.

Hii ni St Joseph Cathedral Dar mkabala na ila shule zamani ilikuwa inaitwa Forodhani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom