Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana JAMVI
HOSPITALI YA RUFAA SINGIDA inadai shilingi bilioni mia nane kukamilika. Taarifa hiyo alipewa Mheshimiwa Dkt Seif Rashid alipofanya ziara mkoani humo jana na Mtaalamu wa Chuo kikuu cha Ardhi.
Source Radio One (NEWS 23/07/2012).
Question
800,000,000,000/= ??????????????????????????????????????//
Wanajenga MJI au wanajenga Hospitali?????
Nawasilisha
Hata baadhi ya wizara nzima haijapewa pesa kama hizo mmekosea itakuwa milioni mia nane au bilioni nane lakini siyo bilioni mia nane, Mkuu rudi kujipanga upya na taarifa sahihi kwa hii siyo sahihi kwa asilimia mia moja