Nina mgeni toka Italy , amekaa siku 3 akishuhudia mgawo wa Ngeleja. Jana amezunguka kitaa. Kaanzia Kariakoo, Kisutu, Mwananyamala na akarudi Hotelini kwake. Kwa survey hii amenipa finding hii- 'Kama fedha zilizo tumika na zinazoendelea kutumika kwenye majenereta haya yote mitaani kwa nchi nzima shida ya umeme ingekuwa ndoto'.