HKigwangalla
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 717
- 971
- Thread starter
- #41
Rufiji (kwa ndg yangu Hamisi Mrufiji, mimi ni Hamisi Mtabora), naomba nifafanue kitu kuhusu checks and balances za mihimili ya dola kwenye system ya Westminster. Mimi ni mbunge na kazi zangu kikatiba ni legislative, overseer and advisory role, na representation role. si zaidi ya hizo. Kuna ambao wametoka kwenye hizi role tatu na wameingia kwenye role za executive (ministers) na hawa wanasaidiwa na watendaji mbali mbali ambao aidha wameteuliwa na Rais ama wameajiriwa. muhimili wa tatu (judiciary) una-consume legislatures ambazo sisi tunazitunga, kwa kuzitafsiri na kuzitumia. Sasa unapata wapi dhana ya kuniona mimi ni miongoni mwa serikali, unless kama wewe mbunge haujui kazi yako! Mimi nashukuru Mungu naijua vizuri kazi yangu na wala sitetereki kwenye hilo.Kitu kikubwa kinachoniudhi kuhusu huyu Dr. Kingwangala ni kuwa anajifanya kama yeye ni outsider, wakati yeye ni mbunge wa chama tawala. Ni chama chake ndicho kinachoandaa bajeti na kusimamia policy mbali mbali. Sasa kama kweli anataka kuwasaidia Wananchi aingie jikoni na kupambana na wenzake kwenye kamati mbali mbali. Na sio kuuliza maswali basic ambayo hata mtoto wa darasa la saba anaweza kuuliza...