HKigwangalla
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 717
- 971
HUU NI MMOJA WA MICHANGO YANGU KWENYE BAJETI YA ELIMU MWAKA JANA WAKATI BUNGE LIMEKAA KAMA KAMATI.
MWENYEKITI: Ahsante, Mheshimiwa Dkt. Hamisi Kigwangalla!
MHE. DKT. HAMISI A. KIGWANGALLA: Mheshimiwa Mwenyekiti,
ahsante kwa kunipa fursa hii.
Mheshimiwa Mwenyekiti, katika mchango wangu wa maandishi niliongelea kwa kirefu
kuhusu jitihada za Serikali katika ku-foster equity kwenye utoaji wa elimu nchini ili kupunguza gap
kati ya walio nacho na wasio nacho, na pia ili kuondoa uwezekano wa kuunda matabaka ya watumwa
na watawala kwa kuruhusu uwepo wa kundi la watu wenye elimu bora na la wale wasio na elimu kabisa.
Hii inatokana na uwepo wa shule za sekondari za kata zenye ubora huu wa elimu tunaoufahamu, ambazo
wanasoma watoto wa pangu pakavu na uwepo wa private schools wanazosoma watoto wa wenyenacho. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, nilikuwa nimependekeza na kutoa ushauri kwa Serikali ili kuweza kupunguza
tofauti iliyopo kati ya walio nacho na wasio nacho ni lazima walimu ambao wanafanya kazi katika mazingira
magumu wapewe motisha maalum ambazo zinaweza zikawa calculated kijiografia au kwa vigezo vingine ambavyo
vinatokana na tafiti mbalimbali. (Makofi)
Je, Serikali imejipanga vipi katika kutoa motisha kwa walimu wanaoishi katika
mazingira magumu ikiwa ni pamoja na nyumba, mikopo ya vyombo vya usafiri na posho
za hardship katika kazi zao. Ahsante.
MWENYEKITI: Ahsante, Mheshimiwa Dkt. Hamisi Kigwangalla!
MHE. DKT. HAMISI A. KIGWANGALLA: Mheshimiwa Mwenyekiti,
ahsante kwa kunipa fursa hii.
Mheshimiwa Mwenyekiti, katika mchango wangu wa maandishi niliongelea kwa kirefu
kuhusu jitihada za Serikali katika ku-foster equity kwenye utoaji wa elimu nchini ili kupunguza gap
kati ya walio nacho na wasio nacho, na pia ili kuondoa uwezekano wa kuunda matabaka ya watumwa
na watawala kwa kuruhusu uwepo wa kundi la watu wenye elimu bora na la wale wasio na elimu kabisa.
Hii inatokana na uwepo wa shule za sekondari za kata zenye ubora huu wa elimu tunaoufahamu, ambazo
wanasoma watoto wa pangu pakavu na uwepo wa private schools wanazosoma watoto wa wenyenacho. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, nilikuwa nimependekeza na kutoa ushauri kwa Serikali ili kuweza kupunguza
tofauti iliyopo kati ya walio nacho na wasio nacho ni lazima walimu ambao wanafanya kazi katika mazingira
magumu wapewe motisha maalum ambazo zinaweza zikawa calculated kijiografia au kwa vigezo vingine ambavyo
vinatokana na tafiti mbalimbali. (Makofi)
Je, Serikali imejipanga vipi katika kutoa motisha kwa walimu wanaoishi katika
mazingira magumu ikiwa ni pamoja na nyumba, mikopo ya vyombo vya usafiri na posho
za hardship katika kazi zao. Ahsante.