Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
Wakuu
Hii nimeona niilete humu ili tuijadili!
Kuna mdada mmoja jamaa yake ni rafiki yangu! Wanaishi pamoja ingawa hawajafunga ndoa kiutaratibu ila wapo mbioni! Sasa imekuwa kila lunch time anataka ama tuende nae au nimpe hata hela akinunu chakula akipendacho! Hii inanikera maana wakati mwingine uchumi unakuwa siyo mzuri na unaanza kupata shida ya kumuepuka! Mbaya zaidi juzi wakati wa lunch akaanza kuni minyaminya mabegani kama mtu anayezifanyia masaji muscles za mabega! Hii naona ni dalili mbaya hasa kwangu maana mimi ni mwepesi wa mahisia ya mapenzi na yeye ni demu wa jamaa yangu! nifanyeje kuliepuka hili wakuu..........., Kumwambia nashindwa nahisi atanichukia na mimi sipendi iwe hivyo!
Hii nimeona niilete humu ili tuijadili!
Kuna mdada mmoja jamaa yake ni rafiki yangu! Wanaishi pamoja ingawa hawajafunga ndoa kiutaratibu ila wapo mbioni! Sasa imekuwa kila lunch time anataka ama tuende nae au nimpe hata hela akinunu chakula akipendacho! Hii inanikera maana wakati mwingine uchumi unakuwa siyo mzuri na unaanza kupata shida ya kumuepuka! Mbaya zaidi juzi wakati wa lunch akaanza kuni minyaminya mabegani kama mtu anayezifanyia masaji muscles za mabega! Hii naona ni dalili mbaya hasa kwangu maana mimi ni mwepesi wa mahisia ya mapenzi na yeye ni demu wa jamaa yangu! nifanyeje kuliepuka hili wakuu..........., Kumwambia nashindwa nahisi atanichukia na mimi sipendi iwe hivyo!