majambazi matatu yaliyovaa na kuficha nyuso zao walivamia bank. Wakaiba hela za kutosha, kabla hawajaondoka mmoja wa wale majambazi akamuona cashier mzuuri mwanadada. Akajisahau na kumpatia biznez kadi yake ili awasiliane nae baadae.
Hiyo business card itakua imeandikwa:
Mr. Kipungu Sweswe. (Msc BR)
Assistant bank robber
P. O. Box 52
Mbutu.