Kuna wakati napata mashaka na hizi juhudi za serikali kuchelewesha mishahara ya watu wake..
Endapo polisi nao wanacheleweshwewa, isije ikawa ndo wanaamua kushirikiana na majambazi kuanzia mchoro hadi ufanikishaji wa WIZI SALAMA kama huo...
Nina mashaka sana na POLISI kwenye haya matukio..
WIZI SALAMA loolest! Hii umenipa kali ya weekend. Asante sana