elimukwanza
Senior Member
- Dec 27, 2010
- 168
- 23
LEO jioni kwenye mida ya saa 12 pale segerea kituo cha sanene majambazi mawili yakiwa na pikipiki yamevamia duka la kuuza vocha la jumla na kumpiga risasi kichwani muuzaji na kumuua papohapo.
Inasemekana majambazi hayo yalifika mapema na kuelekea saloon iliyopo karibu na duka hilo huku yakitegea muuzaji afunge duka mara yakamuwahi akifunga na kumuelekezea bastola kichwani yakimwambia toa fedha, aliposema hana papo hapo yakamuua.
Imesikitisha sana watu wamefunga biashara zao n wanaomboleza MUNGU AMLAZE MAHALI PEMA MAREHEMU AMIN.
Inasemekana majambazi hayo yalifika mapema na kuelekea saloon iliyopo karibu na duka hilo huku yakitegea muuzaji afunge duka mara yakamuwahi akifunga na kumuelekezea bastola kichwani yakimwambia toa fedha, aliposema hana papo hapo yakamuua.
Imesikitisha sana watu wamefunga biashara zao n wanaomboleza MUNGU AMLAZE MAHALI PEMA MAREHEMU AMIN.