Dreamliner
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 2,034
- 213
Majambazi wenye silaha za moto, wamepora kiasi kikubwa cha pesa Muhimbili National Hospital muda mfupi uliopita.
Wakiwa na bastola 2 na pikipiki, walifyatua risasi 2 hewani karibu na mgahawa uliopo ndani jirani na wards za Mwaisela na Kibasila na kuondoka na kitita hicho cha pesa kwa ulaini na kuwaacha wananchi waliokuja kuwaona wapendwa wao wengine wakizimia na wengine wakilia.
Tunachojiuliza, je walinzi wa magetini wanafanya kazi gani? Maana majambazi hao wamepita kwa ulaini kama kwao.
Wakiwa na bastola 2 na pikipiki, walifyatua risasi 2 hewani karibu na mgahawa uliopo ndani jirani na wards za Mwaisela na Kibasila na kuondoka na kitita hicho cha pesa kwa ulaini na kuwaacha wananchi waliokuja kuwaona wapendwa wao wengine wakizimia na wengine wakilia.
Tunachojiuliza, je walinzi wa magetini wanafanya kazi gani? Maana majambazi hao wamepita kwa ulaini kama kwao.