BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,009
Breaking News
Kundi la Majambazi muda mfupi uliopita yamevamia kituo cha kuuzia mafuta (Shell) iliyoko makutano ya barabara ya Morogoro na Kawawa Road na kupora kiasi kikubwa cha fedha.
Mmiliki wa kituo hicho George Kritsos ambaye pia aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Gymkhana Club amejeruhiwa baada ya kupigwa risasi ubavuni na amekimbizwa hospitali.
(Kwa hisani ya Michuzi Blog)
Kundi la Majambazi muda mfupi uliopita yamevamia kituo cha kuuzia mafuta (Shell) iliyoko makutano ya barabara ya Morogoro na Kawawa Road na kupora kiasi kikubwa cha fedha.
Mmiliki wa kituo hicho George Kritsos ambaye pia aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Gymkhana Club amejeruhiwa baada ya kupigwa risasi ubavuni na amekimbizwa hospitali.
(Kwa hisani ya Michuzi Blog)