zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Toa lako jipya tuone au na wewe ni miongoni wa watuhumiwa.
Soma hapa: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/291644-mtikila-mahojiano-kiingereza.html
Toa lako jipya tuone au na wewe ni miongoni wa watuhumiwa.
Huna jipya!
Huna jipya!
naona katumwa! Mtajibeiba mwaka huu​vipi umefufukia wapi ?
ndo wewe zoba unanufaika na system.mwaka huu hamuna pa kutokea nyie magamba
Mkuu ccm mama,hebu endelea kushusha vitu,hizi nondo noma,yani nimeamini alikuwa anahitajika ulimboka ili watanzania tuondokane na hii serikali ya kihuniHabari za kuaminika toka ndani ya polisi zinasema kwamba, kuna majambazi wawili na mgeni mmoja anayesadikiwa kuwa raia wa China, tayari wameshachukuliwa kutoka katika gereza moja mkoa jirani kwa ajili ya kuwabambikizia kesi ya utekaji nyara Dr. Ulimboka. Pamoja na hao raia wa Tanzania, yupo pia mchina mmoja ambaye inasemekana ni jambazi pia kuhusishwa. KOVA atatoa taarifa akisema kwamba kuna jambazi wawili bado wanasakwa na inasadikiwa wamevuka mpaka wa tanzania kwenda zambia Haya yote yakiendelea, uongozi wa juu Ikulu imekuwa ikipewa taarifa kila baada ya muda mfupi
Wote watakiri kufanya kazi ya utekaji wakiwa na Mkenya feki. Gari la Szuki Eskudo jeusi lililokuwa Central police nalo limehamishwa kwa na kupelekwa kwenye pori kibaha ili ionekane kwamba hao majambazi wanamaficho kibaha. Wazalendo ngoma ndio inaanza. Mpango mzima unasukwa wiki mbili sasa kwa lengo la kulisafisha serikali na jambazi SUGU Ahmed Msangi. Kuna mbinu nyingine mbili ambazo zinaratibiwa na TISS. Mtu wetu wa ndani atatuletea habari kamili ikikamilika. Kha hii nchi imeoza
Katika onyesho la nne, watatafutwa watu wengine ambao watabebeshwa huu mzigo wa nani mhusika, maana ili picha iishe salama lazima watafute mtu watakayemtwisha mzigo walioubeba maana unawaelemea nisawa na kubeba gunia la mavi usipolemewa litakunukia, Inavyoonekana mkuu wa kaya amewapa muda wafanye haraka kumsafisha
hoja lege lege
Habari za kuaminika toka ndani ya polisi zinasema kwamba, kuna majambazi wawili na mgeni mmoja anayesadikiwa kuwa raia wa China, tayari wameshachukuliwa kutoka katika gereza moja mkoa jirani kwa ajili ya kuwabambikizia kesi ya utekaji nyara Dr. Ulimboka. Pamoja na hao raia wa Tanzania, yupo pia mchina mmoja ambaye inasemekana ni jambazi pia kuhusishwa. KOVA atatoa taarifa akisema kwamba kuna jambazi wawili bado wanasakwa na inasadikiwa wamevuka mpaka wa tanzania kwenda zambia Haya yote yakiendelea, uongozi wa juu Ikulu imekuwa ikipewa taarifa kila baada ya muda mfupi
Wote watakiri kufanya kazi ya utekaji wakiwa na Mkenya feki. Gari la Szuki Eskudo jeusi lililokuwa Central police nalo limehamishwa kwa na kupelekwa kwenye pori kibaha ili ionekane kwamba hao majambazi wanamaficho kibaha. Wazalendo ngoma ndio inaanza. Mpango mzima unasukwa wiki mbili sasa kwa lengo la kulisafisha serikali na jambazi SUGU Ahmed Msangi. Kuna mbinu nyingine mbili ambazo zinaratibiwa na TISS. Mtu wetu wa ndani atatuletea habari kamili ikikamilika. Kha hii nchi imeoza
Huna jipya!
Singo ya kichaa wa Kenya imedunda, walete walete, haki ya nani mmejivua nguo live!
Sehemu husika hii hapa Edson Mkuu kutoka post hii ya de'levis: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...rikali-kuficha-ukweli-juu-ya-dr-ulimboka.htmlkwa hiyo ule mpango uliosemwa humu na yule member de'levis ni huo ndo wanataka kuufanya.....ile thread sijui iko wapi!!
2. Kamanda wa polisi kova ameelekezwa KUHAKIKISHA anailinda serikali katika jambo hili na afanye awezalo kuonyesha umma wawatanzia kuwa serikali haihusiki na jambo hili.katika kuficha na kuilinda serikali kova, mwema na maafisa wa wajuu wa usalama wa taifa walishauliana ili kuilinda serikali na kadhia hii mahabusu 5 wenye makosa ya ujambazi wanahitajika kutoka katika magereza yaliyopo mwanza, songea, tabora, tanga na kigoma waletwe dar ili hao waweze kuonyeshwa kwenye vyombo ya habari kuwa ni majambazi yaliyomteka ulimboka na kumpiga. wakishapatikana wataonyeshwa kwenye vyombo vya habari na umma wa watanzania utaambiwa kuwa wale ndio walifanya unyama huo wako chini ya ulinzi na kuwa maohojiano yanaelendelea na uchunguzi ukikamilika watapelekwa mahakamani na hapo ndipo utakuwa mwisho wa mchezo.
3. mbinu nyingine ni kuwa mahabusu hao wasafirishwe hadi pwani na wauwawe wote na taarifa itoke kuwa ndio waliomteka dr ulimboka na wamekamatwa wakiwa mkoa wa pwani katika msako mkali wa jeshi la polisi. Na katika kujibizana risasi polis ilifanikiwa kuwaua majambazi hayo. Na hapo ndo itakuwa mwisho wa swala hili na serikali itakuwa imenawa mikono na kujisafishaKwa sasa kinachofanyika ni kuwasiliana na magereza husika ili kila gereza litoe mtu mmoja (mahabusu) atakayesafirishwa hadi dar/pwani na wataunganishwa kisha kuonyeshwa kwenye vyombo vya habari wakiwa hai au maiti ili kuuaminisha umma kuwa wao ndio walimvamia dr.ulimbokaUpelelezi na uchunguzi unaofanyika sasa ni changa la macho kwa watanznai na hiyo tume aliyoiunda kova nayo ni changa la macho ,na kama ulimboka alifanikiwa kuwaona vizuri na kuzishika sura zao ,mmoja wao yupo katika kamati hiyo. hakuna uchunguzi wowote utakaofanyika wenye tija kwa taifa juu ya kilichotokea.Kamanda Kova anasimamia operation hii na ameambiwa HAKIKISHA serikali inasafishika.
Nimeamini Dr.Slaa alivyosema serikali ni weupe kama karatasi, kila kitu kinavuja.Safi sana