KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
Ni tukio lililotokea jana usiku saa 5 kwenye hoteli ya kitalii ya Moivaro iliyopo wilayani Serengeti ndani ya eneo la kijiji cha Robanda mita mia sita kaskazini toka lilipo geti la kuingia hifadhi ya Serengeti.Kati ya watu wawili waliouwawa ni mgeni mmoja raia wa Uholanzi na meneja msaidizi wa camp hiyo mwenyeji wa Mto wa mbu.
Source mdau wangu anayefanya kazi kambini hapo.
Source mdau wangu anayefanya kazi kambini hapo.