Kundi la majambazi wamevamia hoteli iitwayo Ikoma Bush Camp na kuwapora wageni wote mali zao then wakamuua mzungu mmoja na meneja wa hiyo lodge ambaye ni mtanzania, imetokea usiku wa kuamkia leo.
Wameua Mzungu na Meneja au wameua watu wawili?
Kundi la majambazi wamevamia hoteli iitwayo Ikoma Bush Camp na kuwapora wageni wote mali zao then wakamuua mzungu mmoja na meneja wa hiyo lodge ambaye ni mtanzania, imetokea usiku wa kuamkia leo.
Wameua Mzungu na Meneja au wameua watu wawili?
Campsite ilovamiwa yaitwa Moivaro na si Ikoma
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Tungalie tunavyo ripoti habari hizi cause zina haribu biashara yetu ya utalii Tanzania. Kesho utaona nchi jirani lazima taharifa hii waipe heard line. Tuviache vyombo usika vifanye kazi yake.
Hii ni habari mbaya sana kwa Taifa letu!
Wote wale waliopatwa na msiba nawapa pole nyingi na MUNGU akawalaze marehemu mahala pema peponi.
NB
Ile camp hawakuwa na ulinzi wowote ule?
Hii ndo njia pekee ya kurudisha jasho letu linalo liwa na mafisadi
Hii sekta inawanufaisha watu wachache sanahapana....hapa napingana na wewe.....jaribu kufanya utafiti kujua umuhimu wa utalii nchini.....ndio uje useme kauli yako hii.....