Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Jamani inakuwaje Tanzania yangu wakati huu wa kuelekea kwenye Uchaguzi? Majambazi wamevamia hapa Shekilago dukani kwa jamaa na kupora pesa na watu 2 wamejaruhiwa na watu wote tuko ndani tumeogopa kutoka nje . IKisha tulia nitaenda kuwaleta taarifa zaidi . Hali Dar inatisha risasi nje nje .
Mwenye nyeti zaidi tafadhali atumwagie mie nimezima taa naogopa wasiona nachungulie nje . Hali inatisha
Mwenye nyeti zaidi tafadhali atumwagie mie nimezima taa naogopa wasiona nachungulie nje . Hali inatisha