Katika wakati huu wa utandawazi, ukweli na uwazi, na wakati ambapo serikali imejikita kutokomeza wizi wa mafedha kwa mtandao, watu kadhaa wamekamatwa na polisi wanaendelea na uchunguzi. kama ambavyo vyombo vingi vya habari vilivyokuwa vikiripoti juu ya wizi huu mkubwa tayari watu kadhaa wakiwemo vigogo wanahojiwa na serikali kwa usiri mkubwa. nyeti hizi zimenaswa na viongozi wa vyama vya upinzani na wanajipanga kuzibwaga hadharani hivi karibuni. hata hivyo, chanzo cha habari hizi kinaonesha kuwa na uwezo mkubwa wa kumwaga maevidence na wanatarijia kufanya hivyo hivi karibuni. jiwekeni tayari kwa manewz