Khaa!hatari kubwa.Siku iliyofuata meneja wa bank akatangaza kuwa
majambazi wawili wanevunja bank na kuchukua noti bandia zilizo hifadhiwa hapo zikisubiri kuchomwa moto
:eyebrows:Siku iliyofuata meneja wa bank akatangaza kuwa
majambazi wawili wanevunja bank na kuchukua noti bandia zilizo hifadhiwa hapo zikisubiri kuchomwa moto
:eyebrows:
................baadae ikatangazwa zile noti hazikuwa bandia.
Baada ya majambazi wawili kuiba pesa benki.JAMBAZI#1;Aisee mzazi,tukae chini tuhesabu mkwanja tuliovuna. JAMBAZI#2;Ee bhana mimi nimechoka siwezi kuzihesabu,tusubiri kesho kwenye vyombo vya habari,watataja kiasi cha pesa iliyoibiwa.