Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yeuwoomi.....mambaf wo kui waukie Rua ko mtonga.....
Kweli aise na pale MArangu pameshaendelea sana na kuna mpaka tawi la benki pale kinahitajika kituo cha polisi mapema sana
Ila sijui wanafikiria nini aisse kutokuwa na kituo pale maana ni mbali sana na Himo
si unajua viongozi wetu wanatumia...... kufikiri pale marangu mtoni eneo lipo tukipiga harambee disemba pale wakati watu wanaenda kuhiji miaka miwili tunajenga na boda boda tunawapa wale wafanya biasha pale wakichangishwa mia tano kila mwezi kwaajili ya kuwasaidia na kuimarisha ulinzi tosha kabisa kagombee basi udiwani mkuu.
Wewe ndo unafaa kule mkuu
Mi hata hawanijui aise tena wanaseza sema mimi wa kuja
Siku wakiniambia ongea kile chenyewe nitabaki nang'aa macho tuu
hata hicho cha akina Preta sikiwezi
We nenda bana Jiwe Linaloishi ukomboe lile eneo aise
Jiwe Linaloishi hii biashara ya kuwa kyasaka aise inabidi tupambanne nayo maana inatunyima mengi sana aisemkuu mi kule wananiita mchaga pori kisa nimekulia mjini ni sawa kupanda kahawa mtwara, labda pretaa si unajua wanawake siku hizi wanapewa sana nafasi na wanafanya vizuri.
Jiwe Linaloishi hii biashara ya kuwa kyasaka aise inabidi tupambanne nayo maana inatunyima mengi sana aise
Unaweza shangaa unaenda kule wanaanza kuongea kilugha kujibu huwezi hata kama wanataka waongee mambo za siri wewe unatoa tuu mimacho aise
Jiwe Linaloishi kuielewa ile lugha kwa kwenda pasaka siku tatu sijui au xmass siku tatu ni issue sana aisekweli mkuu inabidi kila Xmas na Pasaka twende ili tuzoeleke na kufahamu lugha ya home
hahahahah.......mbafu tsikekaa mndenyi siku tsii??!!
ote dunia isunguka kipfurhi!!
mkuu hapo umenena hamna jinsi inabidi tuishi na bibi zetu ili wafundishe wajukuu tafanyaje sasa mazingira yametubanaJiwe Linaloishi kuielewa ile lugha kwa kwenda pasaka siku tatu sijui au xmass siku tatu ni issue sana aise
hao watoto tunaopata sasa ndo kabisa hawatakaa waelewe lugha yetu kabisa watakuwa wao ni kiingereza au kifaransa na kiswahili cha kuongea
mkuu hapo umenena hamna jinsi inabidi tuishi na bibi zetu ili wafundishe wajukuu tafanyaje sasa mazingira yametubana
yeuwoomi.....mambaf wo kui waukie Rua ko mtonga.....[/Q
kichaga, like it:A S 465:
Mimi bibi yao mwenyewe akija home ni full kiswahili sijamsikia hata siku moja amekaa nao anawafundisha kilugha aise
hahahahah.......mbafu tsikekaa mndenyi siku tsii??!!
ote dunia isunguka kipfurhi!!
kabisa mkuuhahaha kweli siku hizi kuna bibi bomba.... hamna jinsi tukubali matokeoo
kabisa mkuu
Ila hakuna aliye marangu akatupa majina ya hao walioitwa majambazi mpaka muda huu