Mwl. Ambogo
JF-Expert Member
- Nov 14, 2014
- 201
- 84
Walimu wataendelea kuajiriwa mpaka siku wanafunzi wote watakapo fauluHakuna uhitaji wa walimu labda wa masomo ya sayansi. Nyie wa masomo ya arts muombe Mungu tu muhurumiwe ila hamuhitajiki walimu wamejaa na hawana kazi za kufanya