Ibnu Nindi
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 388
- 71
walimu wanatafuta m badara wa ajira badala ya ualimu kuwa bodaboda nyie mnalilia ajira za ualimu.
iSSUE yenu inashugulikiwa so plz wait jamanWaziri Mkuu Kassim Majaliwa ameyasema hayo alipokuwa anaongea na Wazazi mkoani Ruvuma katika ziara yake ya Serikali mkoani humo. Amesema serikali itamaliza tatizo la uhaba wa waalimu na hasa wale wa sayansi pindi itakapowaajiri julai mwaka huu.
Source: Dira ya Mchana Tbc1
kuna watu wabishi humu wanajua nawatania...Uko sahihi kabisa boss, mimi nimerekodi kabisa na video akiwa anaongea hapo tbc
ni kweli aliongea ila ulichokosea wewe umekuja kivingine. Amezungumza tatizo la ajira litamalizika/kupungua mwezi wa7 wale wasayansi watakapohtmu. Ila infact ajira za walimu zipo palepale kuanzia mwezi wapili pale tu kibali cha ajira kitakapo tolewa na tume ya ajira.kuna watu wabishi humu wanajua nawatania...
Mkuu,hata mimi napenda sana hicho kilimo..Msaada wa Eneo la kuanzisha huo mradi???? Either kwa kununua au kukodisha shamba.Kalimeni matikiti
.
....mpaka muda wa ajira unakua umeshavuna na kuuza...ni gemu tamu unaweza ukaacha ajira ukafanya kilimo na biashara ya matikiti..
Naomba mbinu mkubwa, na mimi niingie kweny hii ishu..Ardhi,Mimi nimehimu ualimu mwaka juzi,nikaenda jkt,nikapata ujasiria mali,ajira walipotoa sikwenda kuripoti,nilikuwa nalima matikiti na matango,sasa nina ka prado kangu,na akaunti inasoma m20 kwa sasa,kwa mwezi naingza m1.5,walimu muache kutegemea kuajiriwa
Mimi nimehimu ualimu mwaka juzi,nikaenda jkt,nikapata ujasiria mali,ajira walipotoa sikwenda kuripoti,nilikuwa nalima matikiti na matango,sasa nina ka prado kangu,na akaunti inasoma m20 kwa sasa,kwa mwezi naingza m1.5,walimu muache kutegemea kuajiriwa
Hongera mi nimenunua kabaiskeli kangu nachoendeaga shule na jana nimesain fomu ya maadili kwa watumishi akaunti yangu inasoma Laki 7 na nusu, naishi kwa amanin kabisa.
mmh hasa kwa walimu wa sayansi kauli hiyo inaashiria kuwa arts ni less consideredacheni kuwatania wenzenu.
walimu wanatafuta m badara wa ajira badala ya ualimu kuwa bodaboda nyie mnalilia ajira za ualimu.
We jipe moyo tu,ila kaa ukijua ajira n mwezi wa saba,mwaka huu, usisubirie uajiriwe jiajiri kwanza