nimesoma kwa masikitiko makubwa sana kwenye gazeti la majira la leo kuwa jaji anasema pingamiza la dr slaa kwa kikwete juu ya kukiuka sheria ya gharama za uchaguzi ni gumu kwa vile anapendwa na wengi,hapa ni udharirishaji mkubwa wa taaluma zao,hao watu wengi wanaompenda kikwete ni wakina nani?wezi wa epa?wauaji wa albino?wakwepa kodi wakubwa?anatoa taswira gani kwa mahakama zetu?