MAMESHO
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 1,366
- 1,622
Inatiamoyo Majaji wastaafu kutoa tamko lao kuhusu Muswada wa katiba na kutaja upungufu unoonekana wazi wazi. Jambo hili ni lakuunga mkono pamoja na wengine wengi walioko mstari wa mbele kuhakikisha kwamba tunapata katiba mpya ITAKAYOFAA kwa watanzania