Majaji wapendekeza Mahakama ya kadhi kufutwa Kenya

Mbona torah ya kiarabu inatumia neno Allah katika sehemu ya MwenyeziMungu katika Torah ya Kiswahili?:
"Jehovah Himself studies the Talmud standing, he has such respect for that book."-Tract Mechilla.

torah yako unayoisema ni ile iliyoanzishwa almost 700 years after Christ, while the original was there many years ago, it is a chinese like product-fake. Jehovah is Jehovah. allah is allah.
Usilinganishe vitu viwili tofauti.

And for your information, Waliopewa torah ni waisrael tu walipokuwa wanasafiri kutoka misri kwenda kanaani. Hiyo inayoisema ya kiarabu is an ABSOLUTE FAKE TORAH.

Ask any highly skilled Muslim scholar atakuambiwa. Ucha kusikiliza vijiwe vya manzese vya Yesu si Mungu.
 
itafutwa tu hata hivyo. its just a matter of time. asilimia saba ya waislam inaingiza dini kwenye selikali kushinikiza asilimia zaidi ya themanini ya wakristo walio baki, hivi wangekuwa waislam ndo wengi kenya sijui ingekuwaje...
Mwana wa Mungu umeishiwa hoja wacha ushabiki wa kijiweni "itafutwa tu hata hivyo. its just a matter of time"!
 
kama Jk anafanya hivyo, itabidi basi awe makini kwasababu historia itamhukumu. islamic banking haina lolote zaidi ya kuendelea kugawanya watz waliokuwa wanakaa kwa amani na upendo, tunakoelekea hakueleweki kama huku kukaa kwa kushirikiana na kupendana watu wa dini zote kutaendelea au vipi, kwasababu kama kweli viongozi wetu hawachukulii maanani mambo tete wanataka kutupeleka wapi sasa?


Nashangaa mpaka mabenki yanaanza kampeni ya islamic benking!!! Mwislam safi anayeona ni halramu kupata riba kutoka benki, si achukue iliyo halali yake hiyo riba awaachie wenye benki.. It is that simple!!! Hatutaki sisi kuona kuna foleni/kaunta mbili katika benk eti hii ya waislamu ile ya wasio waislaam.Huu ni upuuzi unaanza kujengwa kidogokidogo na hasa wakiangalia mtawala gani yupo madarakani.Angalia mambo ya OIC,MAHAKAMA YA KADHI, HIJABU SHULENI N.K yanafuata pale penye ufa.Tunataka Tanzania moja, mambo ya ibada yasishugulikiwe na taasisi yoyote ya serikali.Huko ndiko kumuenzi muasisi wa taifa letu Mwl Nyerere.

 
Ni afadhali hizo kodi za serikali zingetumika huko makanisani waislamu tusingeona lakini kwenye mabenki ya umma kuweka miti ya krismas!

Nguvumali, hapa ni ''Home of Great Thinkers'' Hivi umeshindwa kupata ni wapi kodi ya serikali inatumika katika makanisa hadi unataja Xmss trees katika mabenki?? Hiyo si kuwatakia heri tu wateja wake kama ilivyo ktk magazeti ambapo makampuni na mashirika mbali mbali wafanyanyavyo ktk sikuu zote hata za kidini!! Kweli mfa maji haachi kutapatapa. Logic ya mahakama ya kadhi iko wazi kabisa.Ni ibada kama wanavyosema basi isiingizwe ktk mfumo wa serikali.Simple wala ushabiki wa itikadi hauna maana.
 
Nguvumali, hapa ni ''Home of Great Thinkers'' Hivi umeshindwa kupata ni wapi kodi ya serikali inatumika katika makanisa hadi unataja Xmss trees katika mabenki?? Hiyo si kuwatakia heri tu wateja wake kama ilivyo ktk magazeti ambapo makampuni na mashirika mbali mbali wafanyanyavyo ktk sikuu zote hata za kidini!! Kweli mfa maji haachi kutapatapa. Logic ya mahakama ya kadhi iko wazi kabisa.Ni ibada kama wanavyosema basi isiingizwe ktk mfumo wa serikali.Simple wala ushabiki wa itikadi hauna maana.
Great thinker huwezi kuwa wewe.Ilikuwa ni mfano tu wa eneo ambapo pesa zetu wote hutumika kwa mambo ya dini ya kikristo na ajabu ya kuonekana kodi yetu pamoja haiwezi kutumika kwa mahakama ya kadhi.Huo huoni kwamba ni mfano wa wazi kabla kuingia kanisani!.
 
Nashangaa mpaka mabenki yanaanza kampeni ya islamic benking!!! Mwislam safi anayeona ni halramu kupata riba kutoka benki, si achukue iliyo halali yake hiyo riba awaachie wenye benki.. It is that simple!!! Hatutaki sisi kuona kuna foleni/kaunta mbili katika benk eti hii ya waislamu ile ya wasio waislaam.Huu ni upuuzi unaanza kujengwa kidogokidogo na hasa wakiangalia mtawala gani yupo madarakani.Angalia mambo ya OIC,MAHAKAMA YA KADHI, HIJABU SHULENI N.K yanafuata pale penye ufa.Tunataka Tanzania moja, mambo ya ibada yasishugulikiwe na taasisi yoyote ya serikali.Huko ndiko kumuenzi muasisi wa taifa letu Mwl Nyerere.


sasa tatizo, wasipofanya hivyo hawa jamaa hawawezikuishi kwenye dunia ya ushindani, wanatapatapa walau wapate kitu kutoka huko kwenye islamic banking. haujui kama wanaishi kwa kututegemea sisi tuendeleze nchi..wangekuwa peke yao hawa ingekuwa kama somalia tu. shule hawaendi, akili ya kufikiri ili kuhimili maisha ya ushindani katika ulimwengu wa kisasa hawana imeishiam madrasa, adui shetani kakomba zote na kuwabandika imani na mategemeo hewa huko misikitini. kama shule au hospitali ambazo wanasema kuwa zinasaidiwa na hela ya umma through kuondolewa kwa kodi ya vitu, mbona mashule na hospitali yanafaidisha watu wote wakristo kwa waislam? wenyewe hawana shule za kutosha na hospitali kwasababu hawawezi, hata ukiwapa pesa wanzishe shule na hospitali, wataishia kugombana na bakwata yao mwisho ngumi na makog fu misikitini.

unajua dini nyingine huwa zinaondoa kabisa mtu kutoka kwenye akili ya kawaida, na kuwa mtu asiyeongozwa na utashi wa kawaida, bali ile roho iliyopo ndani yao. waislam wangekuwa wanafikiri vizuri, wangewakumbatia wakristo sana na wangeendeleza uhusiano mzuri ili wafaidi mengi, kwasababu najua wangefaidi mengi, lakini wao ndo kila siku lawama, shutuma, malalamiko hata hawaridhiki, tufanye nini sasa jamani....tukitaka kuishi kila mtu kivyake hapa mtaishi nyie, si tumewabeba tu hapa..
 
AB ameifafanua vizuri sana situation iliopo Kenya, katiba mpya ipite ama isipite Kadhis court itaendelea kuwepo. Hawa majaji walilipwa ndio waamue kuitupilia mbali mahakama ya Kadhi, that case was filed in 2004, how comes the decision is only made a few months before the referendum, akina Moi wametoa hela sana kuipinga katiba hii, tatizo lao kubwa ni mashamba waliopata kwa njia haramu, their time is up, we want a new Kenya through a new constitution, they have no choice.

who are those 'WE', because as far as I know, majority kenyans want kadhi court to rot in hell. muslims are the minority in your conservative country if I am not mistaken...
 
who are those 'WE', because as far as I know, majority kenyans want kadhi court to rot in hell. muslims are the minority in your conservative country if I am not mistaken...

Pamoja na muslims kuwa minority issue ni swala la kadhi liko kwenye katiba ambalo ndilo swala linaloonekana kuchezewa na uamuzi wa mahakama.
 
Religious Tolerance ndg Watanzania.

Kuna sababu gani ya kuwashambulia waislamu kwa sababu ya madai yao ya kuanzisha mahakama ya kadhi chini ya mamlaka ya katiba?

Naomba kama wapo kati yetu wenye relevant research reference wanieleze kuna madhara gani kama mahakama hii ikikubalika kuanzishwa, na waeleze hayo kwa fair and diplomatic language. Tuache kuropokaropoka kushambulia wenzetu, tuwe na uvumiliano.
 
who are those 'WE', because as far as I know, majority kenyans want kadhi court to rot in hell. muslims are the minority in your conservative country if I am not mistaken...

Mwana wa Mungu,

You are lying and you are not looking at the facts. Kumbuka nilichosema awali. This issue in regards
to Kenya, hata wapige kura ya kupinga katiba mpya au kuunga mkono katiba mpya, Mahakama ya kadhi itakuwepo katika katiba ya Kenya.Elewa hapo.
 
Religious Tolerance ndg Watanzania.

Kuna sababu gani ya kuwashambulia waislamu kwa sababu ya madai yao ya kuanzisha mahakama ya kadhi chini ya mamlaka ya katiba?

Naomba kama wapo kati yetu wenye relevant research reference wanieleze kuna madhara gani kama mahakama hii ikikubalika kuanzishwa, na waeleze hayo kwa fair and diplomatic language. Tuache kuropokaropoka kushambulia wenzetu, tuwe na uvumiliano.

Kwanza unapouliza kama kuna madhara (kwa kujifanya hujui athari zake) unakosea, kila mahali duniani masuala ya dini yanapoingizwa katika state issues huwa kuna mtafaruku mkubwa. Ikiwa unadhani hakuna madhara ni vyema wewe ukaanza na faida zake. Wadau watakupa madhara yake!
 
who are those 'WE', because as far as I know, majority kenyans want kadhi court to rot in hell. muslims are the minority in your conservative country if I am not mistaken...

we Kenyans want a new constitution. Fuata hio link mahali hiyo article imetoka kisha usome hizo comments za Wakenya, maybe you'll get the bigger picture.. It aint about the Kadhis court or abortion, its about maintaining the status quo and we are tired.
 
unajua dini nyingine huwa zinaondoa kabisa mtu kutoka kwenye akili ya kawaida, na kuwa mtu asiyeongozwa na utashi wa kawaida, bali ile roho iliyopo ndani yao. waislam wangekuwa wanafikiri vizuri, wangewakumbatia wakristo sana na wangeendeleza uhusiano mzuri ili wafaidi mengi, kwasababu najua wangefaidi mengi, lakini wao ndo kila siku lawama, shutuma, malalamiko hata hawaridhiki, tufanye nini sasa jamani....tukitaka kuishi kila mtu kivyake hapa mtaishi nyie, si tumewabeba tu hapa..

Hiyo niliyoweka kwa rangi nyengine ndiyo mfano wako wewe mwenyewe ambae umejiita (siwezi kutaja naogopa dhambi!). Nani alombeba nani hapa kila mtu na maisha yake?. Beba hao ndugu zako kwanza wanaochuna ngozi na kukata viungo vya albino!
 
Ni afadhali hizo kodi za serikali zingetumika huko makanisani waislamu tusingeona lakini kwenye mabenki ya umma kuweka miti ya krismas!

hoja hii unailinganisha miti ya x mass, una uhakika wakati wa idd hayawekwagi mapambo yanayo ashiria idd katika maofisi ya umma
 
Onyo kwa Ndugu Sideeq na wenzio,

Hii mada inajadili kuwepo kwa mahakama ya Kadhi katika katiba ya Kenya. Hizi ishu mnazoleta humu
za kunukuu Torah na biashara nyengine naombeni muache maana mnapindisha mada. Iwapo mtu
anataka kujadili mahakama ya Kadhi ndani ya katiba ya Tanzania, feel free to start another thread
and we will exhaust it.

Have a good day.

shukran.
 
we Kenyans want a new constitution. Fuata hio link mahali hiyo article imetoka kisha usome hizo comments za Wakenya, maybe you'll get the bigger picture.. It aint about the Kadhis court or abortion, its about maintaining the status quo and we are tired.


Nuff sed son.

And in that regard I commend all Kenyans in their fight for a new constitution that would liberate
them from the current one which was crafted by the British, mutilated by Kenyatta and raped by
Moi through roadside amendments.Tuko pamoja.

Aluta Continua.
 
Meanwhile somewhere in the city of Nairobi.....

Muslims ponder Kadhis’ courts ruling

hmpg250510_01.jpg


Supreme Council of Kenya Muslims Chairman Abdulghafur Al-Busaidy (left) denouncing High Court ruling on Kadhis’ courts. He said the verdict was serious and unfortunate. Mr Abdilatif Shaban accompanied him.

By Standard Team


Muslim leaders have called a meeting in Nairobi today, as the Government dismissed the ruling on Kadhis’ courts as inconsequential.

The leaders said the ruling had shocked the faithful ahead of the constitutional referendum.

Council of Imams and Preachers of Kenya Organising Secretary Sheikh Mohamed Khalifa, Supreme Council of Kenya Muslims Chairman Abdulghafur El-Busaidy and Kenya Muslim National Advisory Council Chairman Sheikh Ngao said the meeting would decide next course of action.

"We are united on this issue and we will chart the way forward," said Sheikh Khalifa.

Sheikh Ngao expressed disappointment with the ruling, saying it was unexpected.

"We will discuss the ruling as Muslim leaders because it directly touches on the lives of the faithful. It can also cause confusion among Kenyans," he said.

He also defended the existence of the Kadhis’ courts, adding they stem from historical agreements.

Meanwhile, there were mixed reactions to the ruling by the three High Court judges.

Justice Minister Mutula Kilonzo and his predecessor Martha Karua described it as an assault on the Proposed Constitution

"The ruling has no bearing on the Proposed Constitution, but it is suspect and I consider it one of the hurdles facing the draft," said Mutula

He added: "Why has the ruling been delivered now when the referendum is about to take place, unless they want to poison the process."

He questioned whether the judges wanted the Muslims living in Busia and North Eastern for example, to be traveling to Mombasa every time they had an issue.

Ms Karua described the ruling "curious". "This ruling is legally and socially unsound and will now give Kenyans more resolve to vote for the proposed law to liberate themselves from such oppression," she said.

Bordering on Malice

The Law Society of Kenya Chairman Kenneth Akide also dismissed the timing as suspect and shocking.

"These are malicious intentions aimed at scuttling the ongoing review process…The High Court has no mandate to make such a ruling with the existence of the Interim Independent Constitution Dispute Resolution Court. The decision can and will be challenged," Mr Akide said.

The ‘Yes’ campaign secretariat asked Kenyans not to panic, arguing the ruling will not affect the roadmap to a new constitution.

"The ruling does not and cannot affect the constitutional review, nor can it stop the scheduled referendum," said Dr Stephen Njiru.

But the ‘No’ side welcomed the ruling, terming it God’s miracle.

MPs Julius Kones, Wilfred Machage and Joshua Kuttuny said the ruling proved Church leaders’ right, saying including one religion in the constitution is unacceptable.

"The clerics’ prayers have been answered and God seems to have communicated indirectly with the court. It is either all religions are in there or none of them," said Mr Kuttuny.

 
Kwa wale mnaolalamika eti kodi zinazotolewa na wananchi zisitumike kuendeleza maswala ya kidini nataka mjue kua Kenya kuna somo linaliitwa CRE yaani Christian Religious Education na linafundishwa katika public schools that are funded by tax payers money. Mbona msilalmike kuhusu swala hili? Hela ya wananchi wote, wakristo, wahindi, waislamu na hata atheists zinatumika kuendeleza hili somo ambalo in short, inaendeleza hoja za kikristo.Kuna wanafunzi wa dini za kihindi na Kiislamu ambao wanalazimishwa kusoma hili somo in some public schools without question.

Isn't it the height of hypocrisy kusema hela ya walipa kodi isitumike kuendeleza maswala ya dini yet the above example stands out like a sore thumb? The teachers are public servants, paid by taxpayers money yet they are propagating christian values.

Where is the outrage on the above?...None. Why?...because its a non issue according to Kenyan standards.

Huo ni mfano mmoja tu na mengine ipo.
 
quote_icon.png
Originally Posted by MASOUD M.SAID
Ni afadhali hizo kodi za serikali zingetumika huko makanisani waislamu tusingeona lakini kwenye mabenki ya umma kuweka miti ya krismas!

Nguvumali, hapa ni ''Home of Great Thinkers'' Hivi umeshindwa kupata ni wapi kodi ya serikali inatumika katika makanisa hadi unataja Xmss trees katika mabenki?? Hiyo si kuwatakia heri tu wateja wake kama ilivyo ktk magazeti ambapo makampuni na mashirika mbali mbali wafanyanyavyo ktk sikuu zote hata za kidini!! Kweli mfa maji haachi kutapatapa. Logic ya mahakama ya kadhi iko wazi kabisa.Ni ibada kama wanavyosema basi isiingizwe ktk mfumo wa serikali.Simple wala ushabiki wa itikadi hauna maana.
Crome mimi siwezi kuwa na mawazo dhalili kiasi hicho, huyo ni ndugu yetu MASOUD M Said. mimi nilimuuliza kitambo kuwa aonyeshe ni wapi makanisa yanatumia kodi za wananchi, yeye ndo akajibu kuwa ofisi za umma zinapamba xmass Trees.
 
Kwa wale mnaolalamika eti kodi zinazotolewa na wananchi zisitumike kuendeleza maswala ya kidini nataka mjue kua Kenya kuna somo linaliitwa CRE yaani Christian Religious Education na linafundishwa katika public schools that are funded by tax payers money. Mbona msilalmike kuhusu swala hili? Hela ya wananchi wote, wakristo, wahindi, waislamu na hata atheists zinatumika kuendeleza hili somo ambalo in short, inaendeleza hoja za kikristo.Kuna wanafunzi wa dini za kihindi na Kiislamu ambao wanalazimishwa kusoma hili somo in some public schools without question.

Isn't it the height of hypocrisy kusema hela ya walipa kodi isitumike kuendeleza maswala ya dini yet the above example stands out like a sore thumb? The teachers are public servants, paid by taxpayers money yet they are propagating christian values.

Where is the outrage on the above?...None. Why?...because its a non issue according to Kenyan standards.

Huo ni mfano mmoja tu na mengine ipo.
kwahiyo wewe unaona ni hekima kutumia pesa za walipa kodi kuhudumia maswala ya Mohamwedi na wafuasi wake, ama maswala ya Wakristo . ? nawasio na dini je , tuache kupenda dezo, hayo ya kadhi yaishie kwenye milango yenu ya misikiti, mnatuletea mambo ya ajabu ajabu tu.. pesa ya umma ihudumiae umma.
 
Back
Top Bottom