Majaji na mshiriki BSS Wageuza KASIMU wa Tiptop kuwa BABY MADAHA

Walichemsha mbaya kuhusu wimbo huo wa Amore.
Pia majaji wa BSS walionyesha uchakachuaji. Wamemhujumu mzungu Joseph Payne kwa kumkandia na kumkatisha tamaa. Aibu kwao.
Master J aliwaita watanzamnia wanaomshabikia mzungu kuwa ETI ni WASHAMBA! Alitaka wapende anaowapenda yeye?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom