Majaji Miss Dar City Center -- Who got the confindence

Sawa mkuu naomba source, mimi nimetoa kwenye kamusi ya kiswahili sanifu kamusi ambayo sio ya sheria. Ni kamusi ya Kiswahili na kumbuka hilo neno limetumika kiswahili sio kiingereza

judge ni neno la kiingereza......jaji ni uandishi/matamshi ya kiswahili ya neno judge(nielewavyo mimi)
kama judge kwa kiswahili ndio jaji nakubaliana na hao waliolitumia kwa "majaji wa umiss"
lakini kama unavyosema jaji ni neno la kiswahili na sio tafsiri ya neno la kiingereza judge na maanke ndio uliyosema "mwamuzi wa mahakama" basi hao wanaolitumia kwenye umiss hawako sahihi.


judge:<OBJECT style="MARGIN: 1px" codeBase="http://fpdownload.macromedia.com/pub/shockwave/cabs/flash/swflash.cab#version=6,0,0,0" classid=clsid:d27cdb6e-ae6d-11cf-96b8-444553540000 width=13 height=21>
























<embed src="http://img.tfd.com/m/sound.swf" FlashVars="sound_src=http://img.tfd.com/hm/mp3/J0072800.mp3" menu="false" width="13" height="21" wmode="transparent" type="application/x-shockwave-flash" pluginspage="http://www.macromedia.com/go/getflashplayer"></OBJECT> (j
ubreve.gif
j) </P>v. judged, judg·ing, judg·es
v.tr. 1. To form an opinion or estimation of after careful consideration: judge heights; judging character.
2. a. Law To hear and decide on in a court of law; try: judge a case.
b. Obsolete To pass sentence on; condemn.
c. To act as one appointed to decide the winners of: judge an essay contest.

3. To determine or declare after consideration or deliberation.
4. Informal To have as an opinion or assumption; suppose: I judge you're right.
5. Bible To govern; rule. Used of an ancient Israelite leader.

v.intr. 1. To form an opinion or evaluation.
2. To act or decide as a judge.

n. 1. One who judges, especially: a. One who makes estimates as to worth, quality, or fitness: a good judge of used cars; a poor judge of character.
b. Abbr. J. Law A public official who hears and decides cases brought before a court of law.
c. Law A bankruptcy referee.
d. One appointed to decide the winners of a contest or competition.

2. Bible a. A leader of the Israelites during a period of about 400 years between the death of Joshua and the accession of Saul.
b. Judges (used with a sing. verb) Abbr. Judg. or Jgs or Jg See Table at Bible.


<HR class=hmshort align=left>[Middle English <TT>jugen</TT>, from Anglo-Norman <TT>juger</TT>, from Latin <TT>i
umacr.gif
dic
amacr.gif
re
</TT>, from <TT>i
umacr.gif
dex</TT><TT>, i
umacr.gif
dic-</TT>
, judge; see <TT>deik-</TT> in Indo-European roots.]
Synonyms: judge, arbitrator, arbiter, referee, umpire
These nouns denote persons who make decisions that determine or settle points at issue. A judge is one capable of making rational, dispassionate, and wise decisions: In this case, the jury members are the judges of the truth.
An arbitrator is either appointed or derives authority from the consent of the disputants: An experienced arbitrator mediated the contract dispute.
An arbiter is one whose opinion or judgment is recognized as being unassailable or binding: The critic considered himself an arbiter of fine literature.
A referee is an attorney appointed by a court to investigate and report on a case: The referee handled many bankruptcy cases each month.
An umpire is a person appointed to settle an issue that arbitrators are unable to resolve: The umpire studied complex tax cases.
In sports referee and umpire refer to officials who enforce the rules and settle points at issue.
<SCRIPT>hm()</SCRIPT>The American Heritage® Dictionary of the English Language, Fourth Edition copyright ©2000 by Houghton Mifflin Company. Updated in 2009. Published by Houghton Mifflin Company. All rights reserved.
<HR>judge [d&#658;&#652;d&#658;]
n 1. (Business / Professions) a public official with authority to hear cases in a court of law and pronounce judgment upon them Compare magistrate, justice [5] [6] Related adj judicial
2. a person who is appointed to determine the result of contests or competitions
3. a person qualified to comment critically a good judge of antiques
4. (Christian Religious Writings / Bible) a leader of the peoples of Israel from Joshua's death to the accession of Saul

vb 1. (Law) to hear and decide upon (a case at law)
2. (Law) (tr) to pass judgment on; sentence
3. (when tr, may take a clause as object or an infinitive) to decide or deem (something) after inquiry or deliberation
4. to determine the result of (a contest or competition)
5. to appraise (something) critically
6. (tr; takes a clause as object) to believe (something) to be the case; suspect [from Old French jugier, from Latin j&#363;dic&#257;re to pass judgment, from j&#363;dex a judge]
judgeable adj
judgeless adj
judgelike adj
judger n
judgingly adv


freedictionary.com
 
Mkuu neno hilo limetumika katika Kiswahili baada ya kutoholewa katika Kiingereza.

Nakubaliana nawe,lakini likitoholewa halichukui tena maana ya kule lilikotoka bali maana mpya na maana mpya ni ile ya kwenye Kamusi ya Kiswahili sanifu
 
Nakubaliana nawe,lakini likitoholewa halichukui tena maana ya kule lilikotoka bali maana mpya na maana mpya ni ile ya kwenye Kamusi ya Kiswahili sanifu

kwahio jaji ni neno la kiswahili lenye maana mwamuzi wa kimahakama?kama ndio hivyo uko sahihi in ur previous post.
 
Kila siku kazi kubandika picha za wenzako na kuanza kuwachora tu! Aidha una akili na tabia za kike au unasumbuliwa na utoto na usenge, au vyote nilivyotaja.

Acha kutukana wanawake. Umbea ni tabia ya mtu na si ya jinsia fulani. Kuna wanawake na wanaume wambea. Tuondokane na tabia ya kusema eti umbea tabia ya kike wakati sio.

Sio wanawake wote ni wambea na sio wanaume wote ni wambea. Vilevile sio wanaume wote ni 'vidume'

Ni wakati sasa ya kuwapa akina dada heshima wanayostahili
 
Acha kutukana wanawake. Umbea ni tabia ya mtu na si ya jinsia fulani. Kuna wanawake na wanaume wambea. Tuondokane na tabia ya kusema eti umbea tabia ya kike wakati sio.

Sio wanawake wote ni wambea na sio wanaume wote ni wambea. Vilevile sio wanaume wote ni 'vidume'

Ni wakati sasa ya kuwapa akina dada heshima wanayostahili

Kwa mtazamo nilikouwa nao, umbeya ni tabia ninayoihusisha na hulka ya kike, na ni aibu kwa mwanaume kuwa na tabia kama hii. Kwa mwanamke ni ok kwangu akiwa mbeya kwani ndivyo walivyoumbwa. Kwa hiyo sielewi hizi hoja zako za "kutukana wanawake" na "kuwapa akina dada heshima wanayostahili" zinalenga nini hasa.
 
Acha kutukana wanawake. Umbea ni tabia ya mtu na si ya jinsia fulani. Kuna wanawake na wanaume wambea. Tuondokane na tabia ya kusema eti umbea tabia ya kike wakati sio.

Sio wanawake wote ni wambea na sio wanaume wote ni wambea. Vilevile sio wanaume wote ni 'vidume'

Ni wakati sasa ya kuwapa akina dada heshima wanayostahili

Umbeya ni tabia ya kike na in fact ndiyo main pastime ya Wanawake dunia nzima. Piga! Ua! Kama Wanawake wasifanye umbeya unataka afanye nani? Caster Semenya na Mfunyukuzi? Inaonekana wewe ndiyo huna heshima na wanawake kwa kujaribu kulinganisha tabia yao ya umbeya na kitu kibaya.
 
Lidume lizima linaweka mada za kimbeya kama lisenge vile!!
Punguza hasira mkuu, kwanza elewa maada kabla ya kukurupuka. Unajua kwanza kuwa kunatofauti kubwa kati ya neno "mada" na neno "maada" kama ulivyolitumia wewe? Labda niulize una maana gani unaposema "mada za kimbeya" au una maana ya "uhalifu kutoka Mbeya"?

Kila siku kazi kubandika picha za wenzako na kuanza kuwachora tu! Aidha una akili na tabia za kike au unasumbuliwa na utoto na usenge, au vyote nilivyotaja.
Nadhani usimlalamikie Mfunyukuzi ila mlalamikie aliyetoa wazo la kuwepo kwa jamii Photo maana hiyo huenda ndio inayosababisha yote haya. Mkuu inaonekana hujui unajokichukia jambo linalopelekea kutoa maneno bila kufikiri. Naomba uelewe kwamba Akili na tabia za kike zimahitajika sana katika taifa lolote lile duniani. Hivyo kudharau akili na tabia za kike ni kuwadhalilisha na kuwatusi wanawake.
Kwa mtazamo nilikouwa nao, umbeya ni tabia ninayoihusisha na hulka ya kike, na ni aibu kwa mwanaume kuwa na tabia kama hii. Kwa mwanamke ni ok kwangu akiwa mbeya kwani ndivyo walivyoumbwa. Kwa hiyo sielewi hizi hoja zako za "kutukana wanawake" na "kuwapa akina dada heshima wanayostahili" zinalenga nini hasa.
Umbeya ni tabia wala sio jinsia, kama ni tabia hivyo ni wazi kuwa yeyote yule aweza kuwa nayo haijalishi na wala haibagui mwanamke wala mwanaume. Post hii imetolewa katika sehemu sahihi ninamaanisha jukwaa sahihi, hivyo sioni chochote kile cha umbeya, ina maana sio kweli kuwa waliopo katika picha wanafanya kile kinachozungumzwa hapa jukwaani? sasa umbeya unatoka wapi hapo!!????

Umbeya ni tabia ya kike na in fact ndiyo main pastime ya Wanawake dunia nzima. Piga! Ua! Kama Wanawake wasifanye umbeya unataka afanye nani? Caster Semenya na Mfunyukuzi? Inaonekana wewe ndiyo huna heshima na wanawake kwa kujaribu kulinganisha tabia yao ya umbeya na kitu kibaya.
Ni sheria ipi inayosema hivyo.... mbona una-generalize mambo mzee? Hivi kweli main Pastime ya wanawake ni umbeya....? vip kuhusu urembo, kubeba mimba na kuzaa, kunyonyesha n.k
Mkuu mwanamke ni tunu, ni ua tena ni kikamilisho ja mwanaume ambacho Mungu alikileta ili mwanaume apate ukamilifu wake. Usijenge chuki.
I like JF.
 
Don't preach to me woman. Hebu waite kaka zako, wajomba zako, babako na mumeo mkazungumzie gauni la mke wake Obama. Mkimaliza mke wake Obama weka picha yako au ya mamako ichambuliwe. I've made my point, na haya mengine yote ni EXTRA! Gimme a break!!
 
hee makubwa mambo ya wazazi na familia kutukanwa yametoka wapi tena yarabi?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom