Majaji Miss Dar City Center -- Who got the confindence

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,471
733

pencil.png
 

Attachments

  • miss 038.jpg
    miss 038.jpg
    71.5 KB · Views: 395
majaji ovyoooooooo huyo kaka hapo anachungulia nini,:A S tongue:
..Hivi huyo si Gerald Hando wa Clouds fm?? naona dogo anachoka tu au Kusaga ame-cut off mirija ya madhiwa??:A S-eek:
 

Je ni sahihi kuwaita hawa watu majaji, kamusi ya kiswahili sanifu,Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili, Oxford University Press, 2002 Reprint ukurasa wa 88 inamueleza jaji kama "mwamuzi katika mahakama,; hakimu" . Utaona basi sio sahihi kabisa kuwaita watu wanaosailii wadada wa vinguo vifupi kuwa ni majaji naona litafutwe jina lingine.
 
Je ni sahihi kuwaita hawa watu majaji, kamusi ya kiswahili sanifu,Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili, Oxford University Press, 2002 Reprint ukurasa wa 88 inamueleza jaji kama "mwamuzi katika mahakama,; hakimu" . Utaona basi sio sahihi kabisa kuwaita watu wanaosailii wadada wa vinguo vifupi kuwa ni majaji naona litafutwe jina lingine.

Duh kweli wewe mzee wa BAKITA
 
Kila siku kazi kubandika picha za wenzako na kuanza kuwachora tu! Aidha una akili na tabia za kike au unasumbuliwa na utoto na usenge, au vyote nilivyotaja.
 
Je ni sahihi kuwaita hawa watu majaji, kamusi ya kiswahili sanifu,Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili, Oxford University Press, 2002 Reprint ukurasa wa 88 inamueleza jaji kama "mwamuzi katika mahakama,; hakimu" . Utaona basi sio sahihi kabisa kuwaita watu wanaosailii wadada wa vinguo vifupi kuwa ni majaji naona litafutwe jina lingine.

ni SAHIHI.
wewe umeangalia neno judge kwa upande mmoja wa LAW
angalia tafsiri nyingine za judge
verb judge,judging,judged:to form an opinion or estimation of sth after careful consideration.
noun:a judge is who:
1.one who makes estimates as to worth,quality etc
2.(Law)public official who hears and decides cases brought before court of laws
3.one appointed to decide the winners of contest or competetion...........hapa ndio wanaingia hao majaji wa u-miss
 
jamani mbona tumekazania sana urembo na bridal showers? Kuna blog fulani kazi yake ni bridal showers, harusi na occasinal birthdays; na zote hizo ni za kifahari ambayo ina maana kuna matumizi makali ya pesa. Hatuwezi kufikiria kitu kingine? kama kusaidia yatima, kukampeni kupunguza imani za kishirikina na kujifunza kushiriki kimasilahi katika shughuli za kisiasa.
 
ni SAHIHI.
wewe umeangalia neno judge kwa upande mmoja wa LAW
angalia tafsiri nyingine za judge
verb judge,judging,judged:to form an opinion or estimation of sth after careful consideration.
noun:a judge is who:
1.one who makes estimates as to worth,quality etc
2.(Law)public official who hears and decides cases brought before court of laws
3.one appointed to decide the winners of contest or competetion...........hapa ndio wanaingia hao majaji wa u-miss

Sawa mkuu naomba source, mimi nimetoa kwenye kamusi ya kiswahili sanifu kamusi ambayo sio ya sheria. Ni kamusi ya Kiswahili na kumbuka hilo neno limetumika kiswahili sio kiingereza
 
Back
Top Bottom