STRONG GIRL
Member
- Jan 7, 2012
- 13
- 3
JAMANI serikali yetu kweli hamnazo, mpaka sasa naandika kwenye ukurasa huu maiti za ajali ya meli Zanzibar bado zinaelea majini, kwa mujibu wa waokoaji wanaitupia lawama serikali kwa kushidwa kutoa mafuta kwa ajili ya meli na boti zilizojitolea kwa ajili ya uopoaji wa maiti.
Taarifa fupi ya habari iliyorushwa na TBC 1 jioni hii imeonyesha maiti zikielea hovyo majini, huku waokoaji wakisema kama zitachelewa kuopolewa basi zitapotea na hatutaambulia maiti za wapedwa wetu. bunge limesimamishwa sijui masaa yote hayo limeshidwa kupata njia ya kuzitoa majini, au ndo tuseme wamejifungia ndani nao wanalia?. au hakuna bajeti? NI AIBU NA FEDHEHA KWA SERIKALI KUKOSA MAFUTA KWA AJILI YA MELI ZINAZOENDA KUOPOA MAITI HUKO ZANZIBAR
Taarifa fupi ya habari iliyorushwa na TBC 1 jioni hii imeonyesha maiti zikielea hovyo majini, huku waokoaji wakisema kama zitachelewa kuopolewa basi zitapotea na hatutaambulia maiti za wapedwa wetu. bunge limesimamishwa sijui masaa yote hayo limeshidwa kupata njia ya kuzitoa majini, au ndo tuseme wamejifungia ndani nao wanalia?. au hakuna bajeti? NI AIBU NA FEDHEHA KWA SERIKALI KUKOSA MAFUTA KWA AJILI YA MELI ZINAZOENDA KUOPOA MAITI HUKO ZANZIBAR