Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Lakini sidhani kama hili ni la kulaumu serikali. Sijawahi kuona mahali ambapo serikali inasaidia kusafirisha miili ya marehemu katika mazingira ya vifo vya kawaida (I stand to be corrected), familia, jamaa na ndugu ndio wanawajibu huo.
hujasoma vizuri maelezo ya jamaa au umakini wako unapungua mkuu!!!!!! Kasema ugumu wa maisha. Hilo nalo linaubishi? Nani amekodi pikipiki kama si ndugu? Mimi kwetu, Muleba, hospitali teule ya wilaya, inayomilikiwa na mission, ya Rubya, miaka 15 iliyopita maiti na wagonjwa waliozidiwa walikuwa wanasafirishwa bure!!!!! Hapo utasema nini? Gari hizo zilijulikana kama 'Tomushange' (hutamkuta)!!! Leo kulingana na ugumu wa maisha maiti inafungwa kwenye ubao na kufungwa kwenye baiskeli!!! Wakati mwingine kamba zinakatika inanadondoka chini!!! Tunaenda mbele au nyuma!!!!
Leo hii ni hatari, serikali imeweka miundombinu pale walipo na maslahi au kuna mianya ya wizi na ufisadi. Inauma sana.