Globu
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 8,567
- 2,063
Neno dogo lenye maana pana, angalia;- M=malengo ni dira ya mafanikio. A=Angalia walioko chini, kwani maisha ni kupanda na kushuka. Na chochote upewacho ni mtihani kwako. I= Ishi kama dunia ni kitu cha mpito, wakati huo huo juwa tuko katika foleni. S= Saidia masikini, mafukara, yatima na wajane kadri hali inavyoruhusu. H= Hangaika kutafuta rizki za halali na wala usimdhulumu mtu. A=ALLAH (S.W) usimsahau. MUOMBE, MUABUDU na MSHUKURU SANA.