Serikali imeamua kwa makusudi kukandamiza haki za wananchi walioiweka madarakani, imeamua kuwapora haki zao, maisha yetu yapo mikononi mwa nani? Mwizi wa kuku yupo Segerea anatumikia kifungo cha miaka 5, aliyeiba mabilioni yupo mtaani anafurahi.
Wenye madaraka wanashirikiana na mahakama kukandamiza demokrasia na haki, wanaamua kila kitu kwa matakwa ya serikali. Sheria walizotunga kumbe sio kwa ajili yao, ila kwa wananchi wasio na chochote. Nauliza tena maisha yetu yapo mikononi mwa nani? Haki itapatikana wapi? mahakamani-hapana? tume ya uchaguzi?-hapana, polisi-hapana?
Serikali inatumia kila mbinu kulazimisha kukaa madarakani, inatumia rasilimali za wananchi ili iwatawale kwa mabavu zaidi. We will pay high price for this, dalili zipo wazi.
Some ignorance's are genetically determined, cant be changed by learning.
Wenye madaraka wanashirikiana na mahakama kukandamiza demokrasia na haki, wanaamua kila kitu kwa matakwa ya serikali. Sheria walizotunga kumbe sio kwa ajili yao, ila kwa wananchi wasio na chochote. Nauliza tena maisha yetu yapo mikononi mwa nani? Haki itapatikana wapi? mahakamani-hapana? tume ya uchaguzi?-hapana, polisi-hapana?
Serikali inatumia kila mbinu kulazimisha kukaa madarakani, inatumia rasilimali za wananchi ili iwatawale kwa mabavu zaidi. We will pay high price for this, dalili zipo wazi.
Some ignorance's are genetically determined, cant be changed by learning.