Brooklyn
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 1,459
- 284
Katika hili Dr. Slaa kachemka na ina onyesha alivyo mbinafsi!! Hebu fikiria, anashindwaje kumjengea a simple and decent house baba yake mzazi wakati;
1. Analala na kimada kwenye apartment kwa miezi zaidi ya 6 sasa,
2. Ni mbunge kwa miaka 15
3. Na anamiliki mashamba makubwa ambayo anayaendesha kibiashara kwa zaidi ya miaka 20
4. Amekuwa akipata kiinua mgongo baada ya kumaliza vipindi vya miaka mitano mitano ya ubunge ambayo ni kiasi cha Tsh. mil 40 mara 3= Mil 120
Kumbukeni wadau a decent house in Karatu can cost around Tsh. 2 mil only (which is a fuel allowance for one month only that he gets as MP)
5. Na vitu vingine nisivyovijua ambavyo vinamuongezea kipato
Kama hawezi kuwa responsible kwa baba yake wa damu kwa kumsaidia kuondokana na maisha ya kifukara kupindukia, atawezaje kumjali bibi yangu aliye Mmbanyambipile kule tukuyu anaishi kwenye nyumba ya udongo?????
I fully support regime change in this country, lakini hivi vitu kama kutembea na mke wa mtu (hata kama alikuwa hajui alipaswa kufanya due diligence ili kujua mwanamke anamchumbia ana vikwazo vyovyote?) na hili lililoibuliwa na TBC1 ni moja ya vitu vitakavyompunguzia kura sana Dr. Slaa!!
Ushauri wa bure: Unapoamua kufanya ama hata ukiwa na dream ya kufanya kazi ya siasa unatakiwa at least uishi maisha ya kiadilifu kwa sababu wapinzani wako watatumia mapungufu yako kama vigezo vya kuwashawishi wapiga kura kama wewe hufai.
Wana JF acheni kumremba Dr. Slaa hata pale anapochemka dhahiri, wenye akili wataona mnapiga porojo kama anazopiga Mh. Makamba!!
1. Analala na kimada kwenye apartment kwa miezi zaidi ya 6 sasa,
2. Ni mbunge kwa miaka 15
3. Na anamiliki mashamba makubwa ambayo anayaendesha kibiashara kwa zaidi ya miaka 20
4. Amekuwa akipata kiinua mgongo baada ya kumaliza vipindi vya miaka mitano mitano ya ubunge ambayo ni kiasi cha Tsh. mil 40 mara 3= Mil 120
Kumbukeni wadau a decent house in Karatu can cost around Tsh. 2 mil only (which is a fuel allowance for one month only that he gets as MP)
5. Na vitu vingine nisivyovijua ambavyo vinamuongezea kipato
Kama hawezi kuwa responsible kwa baba yake wa damu kwa kumsaidia kuondokana na maisha ya kifukara kupindukia, atawezaje kumjali bibi yangu aliye Mmbanyambipile kule tukuyu anaishi kwenye nyumba ya udongo?????
I fully support regime change in this country, lakini hivi vitu kama kutembea na mke wa mtu (hata kama alikuwa hajui alipaswa kufanya due diligence ili kujua mwanamke anamchumbia ana vikwazo vyovyote?) na hili lililoibuliwa na TBC1 ni moja ya vitu vitakavyompunguzia kura sana Dr. Slaa!!
Ushauri wa bure: Unapoamua kufanya ama hata ukiwa na dream ya kufanya kazi ya siasa unatakiwa at least uishi maisha ya kiadilifu kwa sababu wapinzani wako watatumia mapungufu yako kama vigezo vya kuwashawishi wapiga kura kama wewe hufai.
Wana JF acheni kumremba Dr. Slaa hata pale anapochemka dhahiri, wenye akili wataona mnapiga porojo kama anazopiga Mh. Makamba!!