Dogo Tundu
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 448
- 189
Mi mwenzenu nina tatizo moja na wanachuo.
Hivi kwanini, utakuta dogo kamaliza kidato cha sita akiwa na maadili mazuri tu kutoka kwa wazazi na walimu wake wa shule but akifika tu chuo within one to two month anakuwa kama si yule aliyekuwa akiambiwa mambo utamsikia akisema mambo kwa yesu?
hiyo ni moja, mbili kwanini wanapenda kuishi maisha ambayo siyo yao? Nina maana kuwa wanapenda maisha ya juu ambayo hata ukoo wake hawajawahi kuishi maisha hayo.
Wanakula chips kuku, mbuzi, kiti moto na mazagazaga kibao ya gharama tena maeneo ambayo ni expensive sana kila siku, pia wanataka kuvaa expensive kuwazidi hata mastaa wa amerika na ulaya lakini ukuwaona baada ya kumaliza masomo yao hupauka kama mhogo wa kiangazi majumbani mwao tena kuliko hata hawajaanza masomo ya chuo.
Nisaidieni wadau, hivi hii tabia ya wadada zetu kupenda maisha ya juu wakiwa vyuoni inatokana na nini? Na kwanini wanafanya hivyo hali wakijua wanatoka kwenye familia za namna gani?
Hivi kwanini, utakuta dogo kamaliza kidato cha sita akiwa na maadili mazuri tu kutoka kwa wazazi na walimu wake wa shule but akifika tu chuo within one to two month anakuwa kama si yule aliyekuwa akiambiwa mambo utamsikia akisema mambo kwa yesu?
hiyo ni moja, mbili kwanini wanapenda kuishi maisha ambayo siyo yao? Nina maana kuwa wanapenda maisha ya juu ambayo hata ukoo wake hawajawahi kuishi maisha hayo.
Wanakula chips kuku, mbuzi, kiti moto na mazagazaga kibao ya gharama tena maeneo ambayo ni expensive sana kila siku, pia wanataka kuvaa expensive kuwazidi hata mastaa wa amerika na ulaya lakini ukuwaona baada ya kumaliza masomo yao hupauka kama mhogo wa kiangazi majumbani mwao tena kuliko hata hawajaanza masomo ya chuo.
Nisaidieni wadau, hivi hii tabia ya wadada zetu kupenda maisha ya juu wakiwa vyuoni inatokana na nini? Na kwanini wanafanya hivyo hali wakijua wanatoka kwenye familia za namna gani?