FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,793
- 5,372
hapa iko kazi ila kwa mie siwezi mruhusu mjukuu wangu aende huko maisha plus kama ana hamu ya kujifunza maisha ya kijijini nitampeleka kwa babu yake kuleeee hakuna barabara ...ataishi mwenyewe mpaka atume barua kupitia kwa mtendaji wa kijijini ndo nimfate ..
Hiyo village amabyo unakaa ukijua unamulikwa na Luninga baasi
Hiyo village amabyo unakaa ukijua unamulikwa na Luninga baasi