Kijana kweli shujaa ..kasema wazi haoni wa kumtoa wala hakuna ambaye anaugovi naye wala ambaye anatatizo nae kwa hiyo kaamua jitaja mwenye kuwa atoke kuliko kuwa mnafiki..safi
lugha mbovu arudi tu kitaa aendelee kujenga misamiati mibovu
hatimaye Bahati Kisura, my favorite, mshiriki wa Maisha Plus # MP05 anayewakilisha mkoa wa Da es Salaam aokolewa kwa kura za mashabiki na kubakia kijijini, ... thanks to you all TeamBahati kwa ku'recognize entertaining & life struggling strategies zilizo ndani ya huyu kijana kwa kupitia kura zenu, lets keep it up its only us through our voting who are gonna turning his dream into a reality ...