halafu mbona unaangalia upande mmoja tu? je, ni wanaume wangapi wazuri kama wewe mnaoshindwa kuwapa mapenzi ya kweli kina lulu na wema? kwani na wao hawastahili kuwa na wanaume wema na waaminifu kama wewe?
mimi nampenda sana nanihii najua hawezi kuwa na mimi lakini ndo ivo upendo wangu upo juu yakeOrait..tunamaanisha wa hapa hapa JF tunaweza kuchukuliana mifano sio
Hebu fungukeni gals....kabla sijafa halafu watu mkazimia bure.....
mimi nampenda sana nanihii najua hawezi kuwa na mimi lakini ndo ivo upendo wangu upo juu yake
nitakufa na langu moyoni na yeye anaendelea kuteswa huko
ndo hapo utaona maisha ni kitendawili
mkuu asante kwa compliments...
it is a puzzle kwa kweli....
ha haa utaboreka kwangu
hakuna hata Jack Daniels
utarudi kwa Bishanga bure lol
Katika mtihani mkubwa ambao kila mwanadamu anao hasa kama ana mafanikio makubwa ni MAPENZI.....
AD,
Una uhakika na unachokisema?
Mie nadhani tatizo sio huo mtihani maana wapo wengi tuu ambao wameweza kuukabili vizuri tuu hata kama ni kwa ku-supp. Tatizo linakuja pale ambapo mhusika badala ya kuukabili huo mtihani, anajitungia mtihani wake mwenyewe halafu mbaya zaidi anashishindwa kuukabili.
Dhambi hutupotosha macho. Tunaacha almasi zitupite, tunahangaika na kuokota kokoto
Kweli maisha ni kitendawili
na leo nimethibitisha wengi hufa bila kutegua.....
hebu fikiria hiii
kuna wanawake na wasichana wangapi
ambao pengine walikuwa wako tayari kumpa 'faraja na amani na mapenzi ya kweli Kanumba'?
watakuwa ni weengi mno...maelfu na maelfu na mamilioni labda...
but tazama wanawake waliokuwa katika maisha yake
Wema Sepetu na wengine..
na mwisho akafia kwa kitoto Lulu.....
utasema hakuwahi 'kupendwa kikweli kweli na na mwanamke wa maana'
yet kuna miliions walikuwa probably wanamtaka.....awe their man forever....
maisha ni kitendawili......kikubwa....
inawezekana wewe au mimi pia tunahangaika kila siku na 'wapenzi wetu full micharuko'
hadi tunakata tamaa while kuna maelfu kila siku wanakutazama na kimoyomoyo wanasema
'ningempata mimi yule' dah....
mwisho siku ukifa ndo wanalia hadi kuzimia.....while ulipokuwa hai...
walishindwa tu namna ya kukusogelea na kufunguka labda.....
au walikusogelea ukashindwa kuwatambua ukachagua micharuko
think about it..........
......waala.....maisha si fumbo wala kitendawili...
maisha ni choices mbili tu kwa kila kitu
Maisha yamegubikwa na Do's and Don'ts...
Maisha ni maamuzi...
either kushoto, au kulia,...
juu, au chini...
utapenda, au utachukia...
majuto au furaha yako ( wewe mwenyewe)
maishani yatokana na chaguo lako kati
ya mamuzi yako mwenyewe ( based on your experiences )
Ukijikuta kwenye mapenzi wangukia pua kila mara, usimlaumu mtu...
jilaumu intuition zako mwenyewe zinazokupelekea kujiona you are more suitable
na partners wa aina hiyo..(ndio majaaliwa ya iQ yako hiyo)