Maisha ni kitendawili...wengi hufa bila kutegua...

Katika mtihani mkubwa ambao kila mwanadamu anao hasa kama ana mafanikio makubwa ni MAPENZI..... Kila mmoja wetu hujitahidi hivo hivo kucheza huu mchezo kwa mtindo wa bahati nasibu.... Sometimes I wish Mwenyezi Mungu angempa uwezo mwanadamu kuweza ona ndani ya roho ya alompenda kwa dhati/Ukweli/deeply chembe tu.... hata kama ni mithili ya punje ya poda ya hayo mapenzi for her/him to realise how truly apendwa na huyo mtu. However it is not possible na ndio maana kuna mengi ambayo hupelekea tokana na Mapenzi.... Mengi yakiwa negative ingawa kuna positive which are rare.

Ukija upande wa Kanumba.... Hatuwezi sema hakutegua ama alitegua. Bahati mbaya sana Hakuoa.... Na you can somehow define a Man by a Woman he marries but not the ones he sleeps with. Hii haitakuja badilika; Mwanaume yeyote mwenyewe yupo katika nafasi kama ile ya Kanumba ni Lazima wanawake wake wawe red hot cheeks..... Sampuli za Wema, (Mimi ni mwanamke BUT I know if I was a Man; I would want her hata kama atakua alinifuata sababu ya kitu nilichonacho.... Yule binti anatia raha kumuangalia.... Ukija Lulu, Uwoya... ni hivo hivo).

Ndio maana wanaume wengi walio na mafanikio saana ambayo wamepata ujanani mno huchelewa sana kuoa.... sababu anamtaka Wema Sepetu; akiwa na hope atamhandle ila in the long run anajua deep within him kua hafai kua Mke! So it is better aendelee kula maisha; hoping atapata a hot lady na atafaa kua wife...

Hivi nisije nikawa nimetoka nje ya topic Boss.... Ila this is what i have on the matter....
 
422858_165189323600480_100003282396998_227492_755069803_n.jpg


.
Nimeipenda sana hii. Huo ndo ukweli na inabidi ubaki hivyo. Nafikiri hapa umethibitisha kwamba ni vigumu kupenda kidogo na kuacha akiba ya mapenzi. Maana utakapofanya hivyo tu, hiyo tension ya rubber band itapungua na migogoro itaanzia hapo.
 
Katika mtihani mkubwa ambao kila mwanadamu anao hasa kama ana mafanikio makubwa ni MAPENZI..... Kila mmoja wetu hujitahidi hivo hivo kucheza huu mchezo kwa mtindo wa bahati nasibu.... Sometimes I wish Mwenyezi Mungu angempa uwezo mwanadamu kuweza ona ndani ya roho ya alompenda kwa dhati/Ukweli/deeply chembe tu.... hata kama ni mithili ya punje ya poda ya hayo mapenzi for her/him to realise how truly apendwa na huyo mtu. However it is not possible na ndio maana kuna mengi ambayo hupelekea tokana na Mapenzi.... Mengi yakiwa negative ingawa kuna positive which are rare.

Ukija upande wa Kanumba.... Hatuwezi sema hakutegua ama alitegua. Bahati mbaya sana Hakuoa.... Na you can somehow define a Man by a Woman he marries but not the ones he sleeps with. Hii haitakuja badilika; Mwanaume yeyote mwenyewe yupo katika nafasi kama ile ya Kanumba ni Lazima wanawake wake wawe red hot cheeks..... Sampuli za Wema, (Mimi ni mwanamke BUT I know if I was a Man; I would want her hata kama atakua alinifuata sababu ya kitu nilichonacho.... Yule binti anatia raha kumuangalia.... Ukija Lulu, Uwoya... ni hivo hivo).

Ndio maana wanaume wengi walio na mafanikio saana ambayo wamepata ujanani mno huchelewa sana kuoa.... sababu anamtaka Wema Sepetu; akiwa na hope atamhandle ila in the long run anajua deep within him kua hafai kua Mke! So it is better aendelee kula maisha; hoping atapata a hot lady na atafaa kua wife...

Hivi nisije nikawa nimetoka nje ya topic Boss.... Ila this is what i have on the matter....

umeongea vizuri Ashadii
na hujatoka nje ya mada pia..
 
The Boss, umeongea ukweli.
Mi mwenyewe niki rewind maisha yangu , naona walionipenda kweli, sikuwaamini by then, na nilikuja kugundua baadaye wakati nimeshajiingiza kwenye mifyongo ya ajabu.

Na kuna wengine niliowapenda, ambao kwa mila na desturi ( mfumo fulani dume au jike kutokana na perception yako), sikuweza kuwafungukia basi nimebaki kujitizamia tu na kuwaza kama iko siku nami nitakuwa na furaha in life.

Maana kitu nilichogundua, hakuna jambo baya kama kujifungamanisha na mtu ambaye hukumpenda au hamuendani.
Anyways, kweli maisha ni kitendawili... nilipokuwa bado mdogo , nilijiwaza kuwa nitakuwa na maisha na familia yenye furaha lakini njozi zote zimeenda na maji kama yanayopita chini ya daraja la Salenda!

Thank you Boss kutudadavulia yale tunayoyajua sema kwa upana na kikumbukumbu zaidi
 
thanks...karibu,,,funny eh..
ni kama kuna free lunch offer kempisiky...
halafu unakutwa umekufa kwa kugombana na mama ntilie.....sad but funny...and strange...

Hamna free lunch popote katika maisha.The only free lunch, is the cheese on a mouse trap!Hiyo cheese nayo inalipiwa kwa maisha ya huyo panya atakayejaribu kusogea mtegoni kujipatia free lunch.

Kadhalika kugombana kwa mama ntilie tusione aibu wala vibaya maana yote ni maisha.Cha msingi ni kufanya maamuzi katika wakati sahihi.Umeshajua Kempinski kuna nini na kwa mama ntilie kuna nini.SONGA MBELE.USIBAKIE ULIPO BILA KUJIFUNZA KITU CHANYA KWA MAISHA YAKO!

Katika hayo mawili tunajifunza kuwa
1.Kila unachodhani ni kizuri kina gharama. Ukiona mwanamke/mwanaume mzuri kwa vigezo unavyodhani ndivyo, ujue kuna gharama yake. Cha msingi ni kuwa open-minded katika maisha.Pia kila kinachoonekana dhalili mbele ya watu wengine, kina faida na unafuu kwa wengine

2.With time, tukiangalia maisha na tunakotoka, tunagundua kuwa tumefanya makosa mengi sana katika kutafuta furaha.

3.Kukosea ni ubinadamu na tumshukuru Mungu kwamba bado tunapumua. Mafunzo ya kimaisha tunayopitia yasipite bure kama vile tulikuwa tunapoteza muda.

4.Pia tusijilaumu kwa yale tuliyofanya hasa kama tumetoka imara zaidi, wenye busara zaidi na tukaweza kusonga mbele.

5.Tujilaumu kama tumebakia humo humo bila mafunzo yoyote na bila kuibuka stronger than before!
 
Hamna free lunch popote katika maisha.The only free lunch, is the cheese on a mouse trap!Hiyo cheese nayo inalipiwa kwa maisha ya huyo panya atakayejaribu kusogea mtegoni kujipatia free lunch.

Kadhalika kugombana kwa mama ntilie tusione aibu wala vibaya maana yote ni maisha.Cha msingi ni kufanya maamuzi katika wakati sahihi.Umeshajua Kempinski kuna nini na kwa mama ntilie kuna nini.SONGA MBELE.USIBAKIE ULIPO BILA KUJIFUNZA KITU CHANYA KWA MAISHA YAKO!

Katika hayo mawili tunajifunza kuwa
1.Kila unachodhani ni kizuri kina gharama. Ukiona mwanamke/mwanaume mzuri kwa vigezo unavyodhani ndivyo, ujue kuna gharama yake. Cha msingi ni kuwa open-minded katika maisha.Pia kila kinachoonekana dhalili mbele ya watu wengine, kina faida na unafuu kwa wengine

2.With time, tukiangalia maisha na tunakotoka, tunagundua kuwa tumefanya makosa mengi sana katika kutafuta furaha.

3.Kukosea ni ubinadamu na tumshukuru Mungu kwamba bado tunapumua. Mafunzo ya kimaisha tunayopitia yasipite bure kama vile tulikuwa tunapoteza muda.

4.Pia tusijilaumu kwa yale tuliyofanya hasa kama tumetoka imara zaidi, wenye busara zaidi na tukaweza kusonga mbele.

5.Tujilaumu kama tumebakia humo humo bila mafunzo yoyote na bila kuibuka stronger than before!


so deep thanks....

Free lunch sikumaanisha as free kabisa
my point ni kuwa sometimes tunakuwa na option ya 'to choose what is better'
but tuna choose the opposite...kwa kutokujua au tu kwa bahati mbaya...
majuto mjukuu....
 
Hamna free lunch popote katika maisha.The only free lunch, is the cheese on a mouse trap!Hiyo cheese nayo inalipiwa kwa maisha ya huyo panya atakayejaribu kusogea mtegoni kujipatia free lunch.

Kadhalika kugombana kwa mama ntilie tusione aibu wala vibaya maana yote ni maisha.Cha msingi ni kufanya maamuzi katika wakati sahihi.Umeshajua Kempinski kuna nini na kwa mama ntilie kuna nini.SONGA MBELE.USIBAKIE ULIPO BILA KUJIFUNZA KITU CHANYA KWA MAISHA YAKO!

Katika hayo mawili tunajifunza kuwa
1.Kila unachodhani ni kizuri kina gharama. Ukiona mwanamke/mwanaume mzuri kwa vigezo unavyodhani ndivyo, ujue kuna gharama yake. Cha msingi ni kuwa open-minded katika maisha.Pia kila kinachoonekana dhalili mbele ya watu wengine, kina faida na unafuu kwa wengine

2.With time, tukiangalia maisha na tunakotoka, tunagundua kuwa tumefanya makosa mengi sana katika kutafuta furaha.

3.Kukosea ni ubinadamu na tumshukuru Mungu kwamba bado tunapumua. Mafunzo ya kimaisha tunayopitia yasipite bure kama vile tulikuwa tunapoteza maisha.

4.Pia tusijilaumu kwa yale tuliyofanya hasa kama tumetoka imara zaidi, wenye busara zaidi na tukaweza kusonga mbele.

5.Tujilaumu kama tumebakia humo humo bila mafunzo yoyote na bila kuibuka stronger than before!
mimi huwa nasema ujana enzi ya shida enzi yenye andamizi
maisha ni safari ndefu na ni fumbo kubwa ,ni ngumu kupredict kesho.tunapanga na tunaweka malengo ndio but future is uncertain
cha muhimu ni kuwa responsible na maisha yako mwenyewe kama kosa lilitokea jilaumu mwenyewe na ujipange lisitokee tena
ishi jinsi wewe unavotaka na wala sio kuangalia mwingine anataka nini
mi navoona hakuna maisha yanayopangwa na watu wawili hata ndoa siamini sana
kila mtu ndo jibu la maisha yake .
 
Katika mtihani mkubwa ambao kila mwanadamu anao hasa kama ana mafanikio makubwa ni MAPENZI..... Kila mmoja wetu hujitahidi hivo hivo kucheza huu mchezo kwa mtindo wa bahati nasibu.... Sometimes I wish Mwenyezi Mungu angempa uwezo mwanadamu kuweza ona ndani ya roho ya alompenda kwa dhati/Ukweli/deeply chembe tu.... hata kama ni mithili ya punje ya poda ya hayo mapenzi for her/him to realise how truly apendwa na huyo mtu. However it is not possible na ndio maana kuna mengi ambayo hupelekea tokana na Mapenzi.... Mengi yakiwa negative ingawa kuna positive which are rare.

Ukija upande wa Kanumba.... Hatuwezi sema hakutegua ama alitegua. Bahati mbaya sana Hakuoa.... Na you can somehow define a Man by a Woman he marries but not the ones he sleeps with. Hii haitakuja badilika; Mwanaume yeyote mwenyewe yupo katika nafasi kama ile ya Kanumba ni Lazima wanawake wake wawe red hot cheeks..... Sampuli za Wema, (Mimi ni mwanamke BUT I know if I was a Man; I would want her hata kama atakua alinifuata sababu ya kitu nilichonacho.... Yule binti anatia raha kumuangalia.... Ukija Lulu, Uwoya... ni hivo hivo).

Ndio maana wanaume wengi walio na mafanikio saana ambayo wamepata ujanani mno huchelewa sana kuoa.... sababu anamtaka Wema Sepetu; akiwa na hope atamhandle ila in the long run anajua deep within him kua hafai kua Mke! So it is better aendelee kula maisha; hoping atapata a hot lady na atafaa kua wife...

Hivi nisije nikawa nimetoka nje ya topic Boss.... Ila this is what i have on the matter....
hii sis
 
Kweli maisha ni kitendawili
na leo nimethibitisha wengi hufa bila kutegua.....

hebu fikiria hiii

kuna wanawake na wasichana wangapi
ambao pengine walikuwa wako tayari kumpa 'faraja na amani na mapenzi ya kweli Kanumba'?

watakuwa ni weengi mno...maelfu na maelfu na mamilioni labda...

but tazama wanawake waliokuwa katika maisha yake

Wema Sepetu na wengine..
na mwisho akafia kwa kitoto Lulu.....

utasema hakuwahi 'kupendwa kikweli kweli na na mwanamke wa maana'

yet kuna miliions walikuwa probably wanamtaka.....awe their man forever....

maisha ni kitendawili......kikubwa....

inawezekana wewe au mimi pia tunahangaika kila siku na 'wapenzi wetu full micharuko'
hadi tunakata tamaa while kuna maelfu kila siku wanakutazama na kimoyomoyo wanasema
'ningempata mimi yule' dah....

mwisho siku ukifa ndo wanalia hadi kuzimia.....while ulipokuwa hai...
walishindwa tu namna ya kukusogelea na kufunguka labda.....
au walikusogelea ukashindwa kuwatambua ukachagua micharuko

think about it..........
daaaa.. ofkozi mzazi umeongea k2 cha ukweli sana alafu unajua nini eeh una akili sana but tukirudi hatua moja nyuma me naona ni bora mtoto wa kike yeye ndo awe wa kwanza kukutel kwamba anakupenda coz me navyojua watu wanasema msichana au mwanamke akipenda huwa anapenda kweli hii inashindikana kutokana na fikra tulizojiwekea wa tz kwamba ukiambiwa unapendwa na msichana unamchukulia kama muhuni wakati siyo kweli na hii k2 nitofauti na nchi zilizo endelea kwani msichana anaweza kumfuata mwanaume yeyote na kumwambia ana mpenda pasipo mvulana au mwanaume kumchukulia vibaya........
 
well said the boss.Mungu na a2saidie 2liobaki kuchagua mema ili 2we na mwisho mwema.
 
Poa basi. Nikukute kwa Bed. Naenda kuoga. No simu toka kwa Pedeshee wala Dushelele wala Serengei Boys. Nina wivu miye. Patachimbika na Kitanuka . . . We haya wee . . . .

Halafu kuna mwingine ananipenda humu, anaona aibu kusema au kujitokeza. halafu nikifa machozi kibao . . . nitakuja kuamka nimtie mtu viboko, shauri yenu.

Jitokezeni wooooote mapemaaaa . . . lol (Jokes wandugu)

hahaha hii kali watazimia wengi eeeh hehe
 
Hamna free lunch popote katika maisha.The only free lunch, is the cheese on a mouse trap!Hiyo cheese nayo inalipiwa kwa maisha ya huyo panya atakayejaribu kusogea mtegoni kujipatia free lunch.

Kadhalika kugombana kwa mama ntilie tusione aibu wala vibaya maana yote ni maisha.Cha msingi ni kufanya maamuzi katika wakati sahihi.Umeshajua Kempinski kuna nini na kwa mama ntilie kuna nini.SONGA MBELE.USIBAKIE ULIPO BILA KUJIFUNZA KITU CHANYA KWA MAISHA YAKO!

Katika hayo mawili tunajifunza kuwa
1.Kila unachodhani ni kizuri kina gharama. Ukiona mwanamke/mwanaume mzuri kwa vigezo unavyodhani ndivyo, ujue kuna gharama yake. Cha msingi ni kuwa open-minded katika maisha.Pia kila kinachoonekana dhalili mbele ya watu wengine, kina faida na unafuu kwa wengine

2.With time, tukiangalia maisha na tunakotoka, tunagundua kuwa tumefanya makosa mengi sana katika kutafuta furaha.

3.Kukosea ni ubinadamu na tumshukuru Mungu kwamba bado tunapumua. Mafunzo ya kimaisha tunayopitia yasipite bure kama vile tulikuwa tunapoteza muda.

4.Pia tusijilaumu kwa yale tuliyofanya hasa kama tumetoka imara zaidi, wenye busara zaidi na tukaweza kusonga mbele.

5.Tujilaumu kama tumebakia humo humo bila mafunzo yoyote na bila kuibuka stronger than before!

Asante sana WOS ..maana unaweza kuwaza mpaka kichwa kikapasuka..
 
The Boss
Siku zote maisha ni kitendawail Tegua
Maisha ni mtihani -kabiliana nao.
Mapenzi hayaeleweki ..huwezi jua nani anakupenda kweli na nani hakupendi
Unayedhani anakupenda anaweza kuwa anakuenjoy
Lakini mwisho wa yote ni mauti .

Hapo kwenye RED nimeshindwa kukusoma / kukufahamu. Nyingine zimetulia
 
Katika mtihani mkubwa ambao kila mwanadamu anao hasa kama ana mafanikio makubwa ni MAPENZI..... Kila mmoja wetu hujitahidi hivo hivo kucheza huu mchezo kwa mtindo wa bahati nasibu.... Sometimes I wish Mwenyezi Mungu angempa uwezo mwanadamu kuweza ona ndani ya roho ya alompenda kwa dhati/Ukweli/deeply chembe tu.... hata kama ni mithili ya punje ya poda ya hayo mapenzi for her/him to realise how truly apendwa na huyo mtu. However it is not possible na ndio maana kuna mengi ambayo hupelekea tokana na Mapenzi.... Mengi yakiwa negative ingawa kuna positive which are rare.

Ukija upande wa Kanumba.... Hatuwezi sema hakutegua ama alitegua. Bahati mbaya sana Hakuoa.... Na you can somehow define a Man by a Woman he marries but not the ones he sleeps with. Hii haitakuja badilika; Mwanaume yeyote mwenyewe yupo katika nafasi kama ile ya Kanumba ni Lazima wanawake wake wawe red hot cheeks..... Sampuli za Wema, (Mimi ni mwanamke BUT I know if I was a Man; I would want her hata kama atakua alinifuata sababu ya kitu nilichonacho.... Yule binti anatia raha kumuangalia.... Ukija Lulu, Uwoya... ni hivo hivo).

Ndio maana wanaume wengi walio na mafanikio saana ambayo wamepata ujanani mno huchelewa sana kuoa.... sababu anamtaka Wema Sepetu; akiwa na hope atamhandle ila in the long run anajua deep within him kua hafai kua Mke! So it is better aendelee kula maisha; hoping atapata a hot lady na atafaa kua wife...

Hivi nisije nikawa nimetoka nje ya topic Boss.... Ila this is what i have on the matter....

AD,
Una uhakika na unachokisema?
 
The Boss, umeongea ukweli.
Mi mwenyewe niki rewind maisha yangu , naona walionipenda kweli, sikuwaamini by then, na nilikuja kugundua baadaye wakati nimeshajiingiza kwenye mifyongo ya ajabu.

Na kuna wengine niliowapenda, ambao kwa mila na desturi ( mfumo fulani dume au jike kutokana na perception yako), sikuweza kuwafungukia basi nimebaki kujitizamia tu na kuwaza kama iko siku nami nitakuwa na furaha in life.

Maana kitu nilichogundua, hakuna jambo baya kama kujifungamanisha na mtu ambaye hukumpenda au hamuendani.
Anyways, kweli maisha ni kitendawili... nilipokuwa bado mdogo , nilijiwaza kuwa nitakuwa na maisha na familia yenye furaha lakini njozi zote zimeenda na maji kama yanayopita chini ya daraja la Salenda!

Thank you Boss kutudadavulia yale tunayoyajua sema kwa upana na kikumbukumbu zaidi

Hapo kwenye red inauma sana....unaanza kusema if only i knew,yaani hiki kitendawili jamani!
Njozi zako hazijaenda na maji, trust in God....wanasema, love comes to those who still believe even though they have been betrayed. Nina imani kuwa unaamini kila jambo linalotokea lina sababu. I truly believe that people are brought together for a reason and if God decides to tear them apart there is a reason behind. Don't give up on your dreams, you may think your dreams have been shattered but it’s possible that God is making some changes to them.....Just surrender your dreams to God.
 
we mkali, kweli kabisa, sometimes unaweza ukawa na mtu, unajua kabisa unampotezea muda, wananmfata watu wa maana anawapiga chini akijua wewe upo~~~~!!
 
so deep thanks....

Free lunch sikumaanisha as free kabisa
my point ni kuwa sometimes tunakuwa na option ya 'to choose what is better'
but tuna choose the opposite...kwa kutokujua au tu kwa bahati mbaya...
majuto mjukuu....

Nimekuelewa Boss, ila kuna watakaokuambia "better is subjective"
Kama ulivyosema, maisha hayana formula kama hesabu
kwamba when a + b + c = 0, a[SUP]3[/SUP] + b[SUP]3[/SUP] + c[SUP]3[/SUP] = 3abc.
Ingekuwepo formula kama hiyo nadhani tusingepata shida
 
unaempenda,hakupendi wala hajui kama unampenda,anaekupenda humpendi wala hutaki kumuona
anaekupenda mwingine hata humjui
full mcharuko

Hiyo inahusika sana tu. Mtu anakuambia kuwa anakupenda tena mpaka anataka kulia na wewe unayependwa unataka kulia kwa sababu tu unaona ni kwa nini huyu kati ya wote ndio anipende! Hapo hapo unayempenda anakupotezea.

Wakati wa machweo ndio watu wanagundua makosa waliyoyafanya na kutaka kurekebisha. Inakuwa too late and so many parties are involved.

Maisha ni kitendawili ambacho hata upewe mji mzuri kiasi gani unashindwa kukitegua.
 
Back
Top Bottom