Maisha ni kitendawili...wengi hufa bila kutegua...

The Boss

JF-Expert Member
Aug 18, 2009
49,110
115,884
Kweli maisha ni kitendawili
na leo nimethibitisha wengi hufa bila kutegua.....

hebu fikiria hiii

kuna wanawake na wasichana wangapi
ambao pengine walikuwa wako tayari kumpa 'faraja na amani na mapenzi ya kweli Kanumba'?

watakuwa ni weengi mno...maelfu na maelfu na mamilioni labda...

but tazama wanawake waliokuwa katika maisha yake

Wema Sepetu na wengine..
na mwisho akafia kwa kitoto Lulu.....

utasema hakuwahi 'kupendwa kikweli kweli na na mwanamke wa maana'

yet kuna miliions walikuwa probably wanamtaka.....awe their man forever....

maisha ni kitendawili......kikubwa....

inawezekana wewe au mimi pia tunahangaika kila siku na 'wapenzi wetu full micharuko'
hadi tunakata tamaa while kuna maelfu kila siku wanakutazama na kimoyomoyo wanasema
'ningempata mimi yule' dah....

mwisho siku ukifa ndo wanalia hadi kuzimia.....while ulipokuwa hai...
walishindwa tu namna ya kukusogelea na kufunguka labda.....
au walikusogelea ukashindwa kuwatambua ukachagua micharuko

think about it..........
 
maisha ni kitendawili......kikubwa....

inawezekana wewe au mimi pia tunahangaika kila siku na 'wapenzi wetu full micharuko'
hadi tunakata tamaa while kuna maelfu kila siku wanakutazama na kimoyomoyo wanasema
'ningempata mimi yule' dah....

mwisho siku ukifa ndo wanalia hadi kuzimia.....while ulipokuwa hai...
walishindwa tu namna ya kukusogelea na kufunguka labda.....
au walikusogelea ukashindwa kuwatambua ukachagua micharuko

think about it..........

powerful................your are really the BOSS...................ni ukweli mtupu..........
 
Na hivyo ndivyo maisha yanavyopaswa yawe. Ndiyo maana idadi kubwa ya wanaume wanaishi na wanawake wasiowapenda but ndiyo waliokuwa available wakati wanatafuta wake wa kuoa, na kuna wanawake wanaoishi na wanaume wasiowapenda but ndiyo waliowatokea wakati huo wakiwa wanawatamani wengine. Na wapo pia ambao wameshindwa kabisa kuolewa au kuoa kutokana na kuendelea kumfikiria fulani na kuwakataa wote wanaojitokeza mbele yake. So huu ndiyo mfumo wa maisha ulivyo. Huwezi kuutegua.
 
Na hivyo ndivyo maisha yanavyopaswa yawe. Ndiyo maana idadi kubwa ya wanaume wanaishi na wanawake wasiowapenda but ndiyo waliokuwa available wakati wanatafuta wake wa kuoa, na kuna wanawake wanaoishi na wanaume wasiowapenda but ndiyo waliowatokea wakati huo wakiwa wanawatamani wengine. Na wapo pia ambao wameshindwa kabisa kuolewa au kuoa kutokana na kuendelea kumfikiria fulani na kuwakataa wote wanaojitokeza mbele yake. So huu ndiyo mfumo wa maisha ulivyo. Huwezi kuutegua.

kweli maisha ni kuomba bahati na sio pesa...
 
Sababu hatukuwepo kwenye hizo relationship hatuwezi kusema kama ali-miss au alikuwa fulfilled. Hatuwezi kujua hao walimpa nini huenda ndio walimpa furaha na nguvu za kuigiza.., hatuwezi kujua kama yeye ndio alikuwa part of the problem and those were the best for him.., hatuwezi kujua labda Wema turned out to be Wema sababu ya uhusiano wake na huyo muhusika..,

Ni kweli maisha ni kitendawili and nobody knows, lakini badala ya kusumbuka kukitengua ni bora to live and cherish the moment..., the what ifs... nobody knows. Also maybe Ka-Lulu turned out to be Ka-Lulu because of intermingling na hao hao ambao unasema deserved better (maybe Lulu deserves better)
 
Sababu hatukuwepo kwenye hizo relationship hatuwezi kusema kama ali-miss au alikuwa fulfilled. Hatuwezi kujua hao walimpa nini huenda ndio walimpa furaha na nguvu za kuigiza.., hatuwezi kujua kama yeye ndio alikuwa part of the problem and those were the best for him.., hatuwezi kujua labda Wema turned out to be Wema sababu ya uhusiano wake na huyo muhusika..,

Ni kweli maisha ni kitendawili and nobody knows, lakini badala ya kusumbuka kukitengua ni bora to live and cherish the moment..., the what ifs... nobody knows. Also maybe Ka-Lulu turned out to be Ka-Lulu because of intermingling na hao hao ambao unasema deserved better (maybe Lulu deserves better)

exactly kama ulikuwa kichwani mwangu
thanx kwa ku add this....still ni kitendawili......
 
... mwisho siku ukifa ndo wanalia hadi kuzimia.....while ulipokuwa hai...
walishindwa tu namna ya kukusogelea na kufunguka labda.....
au walikusogelea ukashindwa kuwatambua ukachagua micharuko........

Boss what a word sir, hapa pia ni kumtanguliza Mungu awe taa na nuru ya kuongoza ... watu wafunguke in aright way..!! uhai bado ungalipo na aepushe micharuko in our ways!! ... ili ikiwezekana kupunguzaa vilio na maobolezo baada ya kifo!!!
 
Halafu The Boss,

Kuna watu kibao wanaopata bahati ya kukumbuka shuka wakati tayari jua limeshachomoza; na halifai hata kwa vibabu vinavyotamani kuota jua la asubuhi, utaviona vinakimbilia ndani kupata unafuu wa kivuli!!

Maisha ni ulevi, tena wa bangi...lol!!

Babu DC!!
 
Boss, thanks for your ping, but sometimes God allows us to go through all these hard times so we can learn to believe in Him more. And also learn to thank Him for what he does for us everyday. Sometimes He uses challeges as a ladder to lift us to a higher level of glory and grace..
 
Sababu hatukuwepo kwenye hizo relationship hatuwezi kusema kama ali-miss au alikuwa fulfilled. Hatuwezi kujua hao walimpa nini huenda ndio walimpa furaha na nguvu za kuigiza.., hatuwezi kujua kama yeye ndio alikuwa part of the problem and those were the best for him.., hatuwezi kujua labda Wema turned out to be Wema sababu ya uhusiano wake na huyo muhusika..,

Ni kweli maisha ni kitendawili and nobody knows, lakini badala ya kusumbuka kukitengua ni bora to live and cherish the moment..., the what ifs... nobody knows. Also maybe Ka-Lulu turned out to be Ka-Lulu because of intermingling na hao hao ambao unasema deserved better (maybe Lulu deserves better)


mkuu kwa kuongezea point yako
lets say he was a problem..
but ukweli ni kuwa wapo weengi waliompenda maybe kuliko alivyojipenda yeye
hapo ndo kitendawili kinakuja
kwa nini wengine hupendwa kuliko wanavyojipenda wenyewe
unakuta mtu ana 'self destruction behavior' mpaka mwisho wake unamfika
na watu wanamlilia hadi kumtetea hadi mwisho..
huoni hiko ni kitendawili kikubwa?
mtu anaweza kuthaminiwa kuliko anavyojithamini yeye mwenyewe
kwa hiyo kushindwa 'kujilinda' na kuwaumiza wanaompenda
 
Halafu The Boss,

Kuna watu kibao wanaopata bahati ya kukumbuka shuka wakati tayari jua limeshachomoza; na halifai hata kwa vibabu vinavyotamani kuota jua la asubuhi, utaviona vinakimbilia ndani kupata unafuu wa kivuli!!

Maisha ni ulevi, tena wa bangi...lol!!

Babu DC!!

ha haa life is funny DC
siku zote watu 'they want what they cant have'
hata kama ni upuuzi tu
 
Back
Top Bottom